Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

Nadhani walishaoana tu
 
hii mada nzito ....i reserve my comment
 

Kama unampenda endelea nae tu maana haya masuala ya kuanzisha relationship ndani ya relationship ni vijimambo vya kawaida tu sasa utaacha wangapi wakati almost wote ndio zao hizo??

Tena wewe uchumba, hata kwenye ndoa ukisikia nyumba ndogo unadhani ni nini? ndio relationship mpya ndani ya ndoa na unamfumania unatake eazy mnaendelea na maisha, take easy msamehe endelea na maisha yako ukitaka msafi utampata wapi ndugu yangu wote ndio wale wale!

Lakini kiukweli mambo ya confession tuwaachie wazungu, sie huku kwetu uki-confess umejichongea ndio tiketi ya kuhukumiwa!!!! hata hivyo pole sana
 
Nadhani walishaoana tu

Kwa jinsi ninavyokuaminia, lazma umepata update fulani!
Namsikitikia sana huyo dada, amesahau kwamba when a man discovers your infidelity, he never trust that relationship again hata kama anasamehe.
Kwenye mahusiano ni lazima kutumia ile tool ya 'if nobody knows, it never happened'
 

hata wanawake huwa ni hivyo hivyo
 
Siku njema huanza asubuhi, kama hujipendi endelea nae sie tutachangia nepi ukishakamata ngoma.
 
chichi
pole sana ni ya duniani hayo, hata Eva alidanganywa na nyoka kwa kuwa aliachwa na Adamu peke yake na hivyo yule mwovu kutumia njia hiyo kupanda mbegu mbaya kwa mwanadamu wa kike, kikubwa kama kweli una moyo wa kumsamehe, basi usikatishwe tamaa miye nakupa go ahead, ila kama unaona kumbu kumbu zitakwathili ni heli ukaangalia uamuzi mwingine ambao ni wa busara zaidi, maana c mkeo huyo, kama angekuwa mkeo wa ndoa basi ungefungwa na ile sheria mtu na asimwache mkewe, hata akimwacha basi amwoe mwingine maana kwa kufanya hivy basi azini, bali ingetegemeana na umefunga ndoa ya namna gani,
 
nawatandelea kumtembelea so get prepared!! Kimsingi huyo siyo riziki unahitakufanya maamzi mazito, it will torch your heart but you will be safe!! all the best
 
To quote lady gaga:
"Trust is like a mirror, you can fix it if it's broken, but you can still see the crack in that mother *****'s reflection."
 

RED: Unasubiri nini.. Au wataka kuwa ka Thomaso.. ufumanie ndo uamini...
Purple: Wizi mtupu... Washikaji wawili kwa muda tofauti..? Haikai akilini.....
SNGA MBELE... KUANZA UPYA SI UJINGA.!!!
 
Huyo mwanamke alikuwa Kilaza kweli kweli miezi mitano mahusiano na watu wawili tofauti ingekuwa mwaka nadhani mkoa mzima ungeisha au wilaya .:dance:
 
Sikushauri uendelee nae......ila wewe ndo unavigezo vingi zaidi ulivyompendea chakachua lipi linalokufaa
 
Nakushauri uachane nae kabisa, huyo ni' kichangu', chukua hatua maana mtu kama huyu inawezekana tayari!!! Mimi nionavyo ni kwamba yeye hakupendi ila mdomoni tu. Ni vema utambue kuwa mbuzi hutembea na mbuzi na sio kondoo, pengine na wewe ndo zako ndo maana unaona ugumu kumwacha. Mchezea shilingi ****** haachi kujuta. CHUKUA HATUA
 
Huyo mwanamke alikuwa Kilaza kweli kweli miezi mitano mahusiano na watu wawili tofauti ingekuwa mwaka nadhani mkoa mzima ungeisha au wilaya .:dance:

Kweli firstlady wa ukweli leo kwa mara ya kwanza umeua lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…