raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 314
hahahahaha hata mie nimefall kwako pia ni-mp basimi nimekupenda wewe.........
asizidi 26mbpna hajasema anataka dem wa umri gani
kama you are serious just ni-pm...Yuko wapi huyo ni2mie namba yk.
kwa niaba ya rafiki yangu naomba kuleta ombi hili kwa wadada wote
anatafuta mwanadada mweupe/maji ya kunde, awe amesoma angalau diploma, mkristo, mrefu wa wastani, umri usizidi 26!
- jamaa ana miaka 29
- ni mfanyakazi
- mrefu wastani
- mweupe
- amehitimu chuo kikuu
- mkristo
- anaishi dar es salaam
kwa yeyote ani-pm nitamuunganisha na jamaa!
ni serious na uwe tayari kwenda kupima
hahahahaha hata mie nimefall kwako pia ni-mp basi
mchakato gani tena?lete mchakato.......
yap possible kabisa utapataNina umri wa miaka 26 na miezi 5, je naweza kupata nafasi?
Sawa, pamoja na kwamba nina rangi ya Coca, ngoja nijaribu bahati yangu. Tayari nimeshaku-pm naomba majibu.yap possible kabisa utapata
hiyo message yako sijaionaSawa, pamoja na kwamba nina rangi ya Coca, ngoja nijaribu bahati yangu. Tayari nimeshaku-pm naomba majibu.
Subira yavuta heri, itakuja tu.hiyo message yako sijaiona
subira yavuta heri but nimeuliza hivyo kwasababu ya ulichokiandika hapaSawa, pamoja na kwamba nina rangi ya Coca, ngoja nijaribu bahati yangu. Tayari nimeshaku-pm naomba majibu.