Mchumba hahudumiwi vijana

Mchumba hahudumiwi vijana

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Miaka ya nyuma wanaume wengi walisalitiwa na wachumba baada ya kuwasomesha shule kwa gharama kubwa wakiwa na tegemeo la kuwa wenza wao wa maisha hapa ikaibuka kauli "mchumba hasomeshwi" somo hili watu wengi walilielewa jambo hili likakoma

Sasa kutokana Tabia ya utapeli baadhi wa hawa dada zetu vijana wengi wameshalizwa wengi wameshaliwa nauli wengi wameshaumizwa baada ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia mchumba mwisho wa siku bila kujua kumbe mwanamke anachaguo lake la mwanamme anayetaka kuishi nae kwahiyo wewe unakuwa tu kama daraja tu lakumvusha

Kumhudumia mchumba ni hasara zaidi kwako unavyomdumia mchumba tayari kama ni bidhaa wewe unakuwa unaipandisha thamani bei inapanda tayari wewe unakuwa sio level yake wewe ni kama daraja lamkufanya avuke aende kwingine

Mapenzi yanayoanza bila pesa ndio mapenzi yanayodumu na njia sahihi kumjua mwanamke wa maisha huyo atakufaa ata pale utapokwama

Kijana mchumba hahudumiwi kisa cha yule wa Mwanza aliyejiua iwe funzo
 
Kwakifup hakuna mwanamke atakupa uchi bila pesa. Hata kma atakataa mwanzon ila jua tu ni kama amewekeza na siki akitaka fahamu utatoa pamoja na interest rate flani.
Hivyo mwanaume jua unachosimamia.

Mfano hai.

Huyu manzi niko nae recently (mke wa mtu ila ana migogoro yao ya ndoa, mme wake hasimamishi) nilimla mara ya kwanza hii ni baada ya yeye kukaa bila kuliwa kwa miezi 11 sababu hio hapo jui.
Kwakua alikua na ukame nikamkata wote basi alifurahi sana na HAKUDAI PESA LICHA YA MIMI KUMPA AKAKATAA katakata.
Alikua anatoka Makambako anakuja Iringa town kufuata mzigo.

Mara ya pili nikamla mzigo tena kama masaa 6 hivi kesho akarud kwao nikampa hela tena akakataa basi nikaomba nilmkatie tu ticket ya kurud kwake.

Nikarud zangu dar kuendelea na maisha .Oohoh sasa juzi nikapigiwa simu shule zinafungua mtoto wake anahitaji ada 600,000/= na yeye hana maana alitegemea kupata kwenye biashara zake ila hali imekua sio hivyo mtoto hatapokelewa shuleni.

Nikampa tu ushaur aende akazungumze na mkuu wa shule ataeleweka.Kwel akakubaliwa ila naona mazungumzo ya INVOICE YA 600K hayakauki.Nikaanza kujitoa taratibu.

Juz tumechat kidogo akanambia simu imedonoka kubadil screen elf 70😂😂😂 .

NADHANI NDIO TUNAELEKEA MWISHO MWISHO.

Kwakifupi hiz mambo za hela na mimi ni tofauti kabisaa
 
Miaka ya nyuma wanaume wengi walisalitiwa na wachumba baada ya kuwasomesha shule kwa gharama kubwa wakiwa na tegemeo la kuwa wenza wao wa maisha hapa ikaibuka kauli "mchumba hasomeshwi" somo hili watu wengi walilielewa likakoma

Sasa kutokana Tabia ya utapeli baadhi wa hawa dada zetu vijana wengi wameshalizwa wengi wameshaliwa nauli wengi wameshaumizwa baada ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia mchumba mwisho wa siku mwanamke anachaguo lake la mwanamme anayetaka kuishi nae kwahiyo wewe unakuwa tu kama daraja tu lakumvusha

kumhudumia mchumba ni hasara zaidi kwako unavyomdumia mchumba tayari kama ni bidhaa wewe unakuwa unaipandisha thamani bei inapanda tayari wewe unakuwa sio level yake wewe ni kama daraja lamkufanya avuke aende kwingine

Mapenzi yanayoanza bila pesa ndio mapenzi yanayodumu na njia sahihi kumjua mwanamke wa maisha huyo atakufaa ata pale utapokwama

kijana mchumba hahudumiwi kisa cha yule wa Mwanza aliyejiua iwe funzo
Kabisa
 
kijana mchumba hahudumiwi kisa cha yule wa Mwanza aliyejiua iwe funzo
Maweee!! weye ndo hujui sasa!...sikia vizuri mchumba anahudumiwa sana tu!! kwanza unamkula vilevile!! tunacho jali ana nyota ya mafanikio!!! kwanza wkt namuhudumia si ninamkulaaa!!

hata yeye anafanikiwa kusoma juu kwa juu kwa ajili ya nyota yangu imemuwakia mnoo! niache kula utamu kwa sababu ya kukimbiwa loool ujinga huo sina aende tu! si nachukua mwingine kwani mie domo zege bana??

kwanza ametumia hela zangu na mie si nimemkula??shida iko wapi?? aende na mkopo nampa!..hata nyumba namjengea ili akaishi humo na mumewe km atapenda akilala njaa aje achukue mapene!

hata huyo mumewe akipenda nae nampeleka shule! wakome na wajue nina hela! alaaaa! na gari nawanunulia! wafaidi wao! kupigana miti vizuriiiii!...usiogope ntu kakusaidia mzigo!
 
Miaka ya nyuma wanaume wengi walisalitiwa na wachumba baada ya kuwasomesha shule kwa gharama kubwa wakiwa na tegemeo la kuwa wenza wao wa maisha hapa ikaibuka kauli "mchumba hasomeshwi" somo hili watu wengi walilielewa likakoma

Sasa kutokana Tabia ya utapeli baadhi wa hawa dada zetu vijana wengi wameshalizwa wengi wameshaliwa nauli wengi wameshaumizwa baada ya kutumia pesa nyingi kumuhudumia mchumba mwisho wa siku mwanamke anachaguo lake la mwanamme anayetaka kuishi nae kwahiyo wewe unakuwa tu kama daraja tu lakumvusha

kumhudumia mchumba ni hasara zaidi kwako unavyomdumia mchumba tayari kama ni bidhaa wewe unakuwa unaipandisha thamani bei inapanda tayari wewe unakuwa sio level yake wewe ni kama daraja lamkufanya avuke aende kwingine

Mapenzi yanayoanza bila pesa ndio mapenzi yanayodumu na njia sahihi kumjua mwanamke wa maisha huyo atakufaa ata pale utapokwama

kijana mchumba hahudumiwi kisa cha yule wa Mwanza aliyejiua iwe funzo
Nimejifunza kitu hapa
 
Kwakifup hakuna mwanamke atakupa uchi bila pesa.Hata kma atakataa mwanzon ila jua tu ni kama amewekeza na siki akitaka fahamu utatoa pamoja na interest rate flani.
Hivyo mwanaume jua unachosimamia.

Mfano hai.

Huyu manzi niko nae recently (mke wa mtu ila ana migogoro yao ya ndoa, mme wake hasimamishi) nilimla mara ya kwanza hii ni baada ya yeye kukaa bila kuliwa kwa miezi 11 sababu hio hapo jui.
Kwakua alikua na ukame nikamkata wote basi alifurahi sana na HAKUDAI PESA LICHA YA MIMI KUMPA AKAKATAA katakata.
Alikua anatoka Makambako anakuja Iringa town kufuata mzigo.

Mara ya pili nikamla mzigo tena kama masaa 6 hivi kesho akarud kwao nikampa hela tena akakataa basi nikaomba nilmkatie tu ticket ya kurud kwake.

Nikarud zangu dar kuendelea na maisha .Oohoh sasa juzi nikapigiwa simu shule zinafungua mtoto wake anahitaji ada 600,000/= na yeye hana maana alitegemea kupata kwenye biashara zake ila hali imekua sio hivyo mtoto hatapokelewa shuleni.

Nikampa tu ushaur aende akazungumze na mkuu wa shule ataeleweka.Kwel akakubaliwa ila naona mazungumzo ya INVOICE YA 600K hayakauki.Nikaanza kujitoa taratibu.

Juz tumechat kidogo akanambia simu imedonoka kubadil screen elf 70😂😂😂 .

NADHANI NDIO TUNAELEKEA MWISHO MWISHO.

Kwakifupi hiz mambo za hela na mimi ni tofauti kabisaa
Mkuu ulijuaje kama alikua hajaliwa kwa miezi 11
 
Maweee!! weye ndo hujui sasa!...sikia vizuri mchumba anahudumiwa sana tu!! kwanza unamkula vilevile!! tunacho jali ana nyota ya mafanikio!!! kwanza wkt namuhudumia si ninamkulaaa!!

hata yeye anafanikiwa kusoma juu kwa juu kwa ajili ya nyota yangu imemuwakia mnoo! niache kula utamu kwa sababu ya kukimbiwa loool ujinga huo sina aende tu! si nachukua mwingine kwani mie domo zege bana??

kwanza ametumia hela zangu na mie si nimemkula??shida iko wapi?? aende na mkopo nampa!..hata nyumba namjengea ili akaishi humo na mumewe km atapenda akilala njaa aje achukue mapene!

hata huyo mumewe akipenda nae nampeleka shule! wakome na wajue nina hela! alaaaa! na gari nawanunulia! wafaidi wao! kupigana miti vizuriiiii!...usiogope ntu kakusaidia mzigo!
Wewe umeshindwa kutofautisha love na sex wewe upo kundi la watu wanaotafuta sex jambo ambalo ni rahisi kupata kwa kila mwanaume

Mimi kikubwa hoja yangu hapa nachozungumzia kumpata mwenza wa maisha na nimehitimisha kwa kusema kipindi cha uchumba ni vizuri kumpima mwanamke waukweli kwakuacha kumuhudumia mwanamke

Kuna muda wanaume huwa tunakutana na wanawake ni sahihi Yani wife material utakuwa na lengo lakumuoa lakini shida wengi wanakosa misimamo sababu unavyozidi kumuhudumia mchumba ndio unavyozidi kumjengea confidence unampandisha thamani atazidi kujiona yeye ni bora zaidi na anaweza kumpata mwanaume mwingine ambaye ni bora zaidi yako
 
Kwakifup hakuna mwanamke atakupa uchi bila pesa.Hata kma atakataa mwanzon ila jua tu ni kama amewekeza na siki akitaka fahamu utatoa pamoja na interest rate flani.
Hivyo mwanaume jua unachosimamia.

Mfano hai.

Huyu manzi niko nae recently (mke wa mtu ila ana migogoro yao ya ndoa, mme wake hasimamishi) nilimla mara ya kwanza hii ni baada ya yeye kukaa bila kuliwa kwa miezi 11 sababu hio hapo jui.
Kwakua alikua na ukame nikamkata wote basi alifurahi sana na HAKUDAI PESA LICHA YA MIMI KUMPA AKAKATAA katakata.
Alikua anatoka Makambako anakuja Iringa town kufuata mzigo.

Mara ya pili nikamla mzigo tena kama masaa 6 hivi kesho akarud kwao nikampa hela tena akakataa basi nikaomba nilmkatie tu ticket ya kurud kwake.

Nikarud zangu dar kuendelea na maisha .Oohoh sasa juzi nikapigiwa simu shule zinafungua mtoto wake anahitaji ada 600,000/= na yeye hana maana alitegemea kupata kwenye biashara zake ila hali imekua sio hivyo mtoto hatapokelewa shuleni.

Nikampa tu ushaur aende akazungumze na mkuu wa shule ataeleweka.Kwel akakubaliwa ila naona mazungumzo ya INVOICE YA 600K hayakauki.Nikaanza kujitoa taratibu.

Juz tumechat kidogo akanambia simu imedonoka kubadil screen elf 70😂😂😂 .

NADHANI NDIO TUNAELEKEA MWISHO MWISHO.

Kwakifupi hiz mambo za hela na mimi ni tofauti kabisaa
ulikua unavutiwa pumzi tu.
 
Kwakifup hakuna mwanamke atakupa uchi bila pesa.Hata kma atakataa mwanzon ila jua tu ni kama amewekeza na siki akitaka fahamu utatoa pamoja na interest rate flani.
Hivyo mwanaume jua unachosimamia.

Mfano hai.

Huyu manzi niko nae recently (mke wa mtu ila ana migogoro yao ya ndoa, mme wake hasimamishi) nilimla mara ya kwanza hii ni baada ya yeye kukaa bila kuliwa kwa miezi 11 sababu hio hapo jui.
Kwakua alikua na ukame nikamkata wote basi alifurahi sana na HAKUDAI PESA LICHA YA MIMI KUMPA AKAKATAA katakata.
Alikua anatoka Makambako anakuja Iringa town kufuata mzigo.

Mara ya pili nikamla mzigo tena kama masaa 6 hivi kesho akarud kwao nikampa hela tena akakataa basi nikaomba nilmkatie tu ticket ya kurud kwake.

Nikarud zangu dar kuendelea na maisha .Oohoh sasa juzi nikapigiwa simu shule zinafungua mtoto wake anahitaji ada 600,000/= na yeye hana maana alitegemea kupata kwenye biashara zake ila hali imekua sio hivyo mtoto hatapokelewa shuleni.

Nikampa tu ushaur aende akazungumze na mkuu wa shule ataeleweka.Kwel akakubaliwa ila naona mazungumzo ya INVOICE YA 600K hayakauki.Nikaanza kujitoa taratibu.

Juz tumechat kidogo akanambia simu imedonoka kubadil screen elf 70[emoji23][emoji23][emoji23] .

NADHANI NDIO TUNAELEKEA MWISHO MWISHO.

Kwakifupi hiz mambo za hela na mimi ni tofauti kabisaa
Ha ha ha...
wanawake Wana mahesbau makali San[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natambua kwamba wapo watakaokuja kupinga ulichokiandika kwasababu wao tayari wameshaingizwa kwenye mfumo wa kukombwa hela zao, na hawana namna ya kuukwepa zaidi ya kuuhalalisha.

Pamoja na yote hayo, nataka ujue kwamba uzi wako una mantiki kubwa sana.
 
Back
Top Bottom