Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashkuru na mimi nimeamua niachane na ayo mambo tu yatanichanganya kweliHahahaaa umesema una miaka mingapi tena?
Nakushauri pambana na masomo achana na hayo mambo kwa sasa maana inaonekana bado akili haijakomaa hayo mambo yatakusumbua na yanaweza kukuharibia masomo.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimeamua kuacha kabisa sitaki tena ngoja nikomae na chuo nitafute GPA nzuriUtafungwa 30yrs mkuu unacheza na nyala za serikali! Subiri amalize shule ndo u rewind mkataba!!
Sent using Jamii Forums mobile app
nashkuru na mimi nimeamua niachane na ayo mambo tu yatanichanganya kweli
Hamna endelea tu kupigania penzi lakokweli nisha acha
Mimi sijamaliza kusoma. Yani daaah vijana wa siku hizi hasara tupu.Yani chuo mwaka wa pili kabakiza mwaka mmoja atunukiwe degree huyu.
Pumbavu kabisa
Itabidi hap JF tuanze kutembeza bakoraz
Shwaini.
Bi mdashi anahangaishwa bure utadhani kazaa dafu kubabeki
Watu walivyochamba sasa utadhani wao walivyokuwa na miaka 22 hawakuwa na wachumba
Sent using Jamii Forums mobile app