Dastan Benard
New Member
- Mar 2, 2020
- 4
- 1
Utangulizi:
December 2018 Nilienda musoma kumtembelea rafiki yangu wambura. ilipofika siku ya sabato wambura aliniambia tukasali sabato kwa sababu kwao wambura wote ni wasabato nami sikuwa na kigugumizi japo sikuwa mhumini wa wasabato nilikuwa nasali RC ikabidi niondoke na wambura kuelekea kanisa la iringo s.d.a musoma.
Mafundisho ya wasabato:
baada ya kufika pale kanisani nilivutiwa sana na mafundisho ya wasabato kama vile visa mbali mbali wakati wa shule ya sabato , kwaya nk
Kusoma biblia:
kabla ya kwenda sabato sikujua Kusoma biblia kwa utaratibu kwa sasa nafahamu Kusoma biblia vizuri kwa utaratibu na nimenunua biblia yangu.
Toka musoma hadi Arusha:
Niliporejea Arusha toka musoma niliendelea kusali sabato japo Kulikuwa na vikwazo vingi from family members.
Kubatizwa:
baada ya kupokea mafundisho mengi kutoka kwa wasabato niliamua Kubatizwa rasmi nikawa msabato pure kijenge s.d.a. Arusha
kukataliwa na mchumba.
kabla ya Kubadili dini nilikuwa na mchumba ( rose not real name) wote tulikuwa wahumini wa roman catholic nilipo mtaarifu kuhusu mimi Kubadili dini na kuhamia sabato s.d.a. alikataa katu katu kuolewa na mimi kwa sababu awezi Kubadili dini kwenda sabato pili Sheria za wasabato ni ngumu awezi kumudu tatu alisema kubadili dini ni kusaliti dini ya wazazi wake hivyo tusitishe malengo ya awali na Kila moja awe huru. njia zote za problems solving techniques zimetumika ila zimegonga mwamba rose mtoto wa kaskazini kasimika mizizi hang'olewi hata kwa winchi .
Msimamo wangu.
(I) Siwezi kukana imani yangu kwa ajili ya mwanamke
(ii) Kwa kuwa amekataa licha ya juhudi zote za usuluhishaji kugonga mwamba nimeamua kuwa huru ili nimtafute mchumba mpya atakae endana na imani yangu ya usabato.
Mahitaji yangu.
natafuta mchumba mpya msabato kama sio msabato awe tayari Kubadili dini yake na kuwa msabato umri kuanzia 26 - 35 asiwe na mtoto akiwa na form six to professor itapendeza kama anajishughulisha itapendeza zaidi.
Kuhusu mimi:
- msabato pure
- 30+ years of age
- permanent and pensionable government employee
- uwezo wa kutunza familia ninao 100%
- elimu yangu ni ya Chuo kikuuu.
Mawasiliano.
(I) pm
(ii) email adress: dastanbenard43@gmail.com
December 2018 Nilienda musoma kumtembelea rafiki yangu wambura. ilipofika siku ya sabato wambura aliniambia tukasali sabato kwa sababu kwao wambura wote ni wasabato nami sikuwa na kigugumizi japo sikuwa mhumini wa wasabato nilikuwa nasali RC ikabidi niondoke na wambura kuelekea kanisa la iringo s.d.a musoma.
Mafundisho ya wasabato:
baada ya kufika pale kanisani nilivutiwa sana na mafundisho ya wasabato kama vile visa mbali mbali wakati wa shule ya sabato , kwaya nk
Kusoma biblia:
kabla ya kwenda sabato sikujua Kusoma biblia kwa utaratibu kwa sasa nafahamu Kusoma biblia vizuri kwa utaratibu na nimenunua biblia yangu.
Toka musoma hadi Arusha:
Niliporejea Arusha toka musoma niliendelea kusali sabato japo Kulikuwa na vikwazo vingi from family members.
Kubatizwa:
baada ya kupokea mafundisho mengi kutoka kwa wasabato niliamua Kubatizwa rasmi nikawa msabato pure kijenge s.d.a. Arusha
kukataliwa na mchumba.
kabla ya Kubadili dini nilikuwa na mchumba ( rose not real name) wote tulikuwa wahumini wa roman catholic nilipo mtaarifu kuhusu mimi Kubadili dini na kuhamia sabato s.d.a. alikataa katu katu kuolewa na mimi kwa sababu awezi Kubadili dini kwenda sabato pili Sheria za wasabato ni ngumu awezi kumudu tatu alisema kubadili dini ni kusaliti dini ya wazazi wake hivyo tusitishe malengo ya awali na Kila moja awe huru. njia zote za problems solving techniques zimetumika ila zimegonga mwamba rose mtoto wa kaskazini kasimika mizizi hang'olewi hata kwa winchi .
Msimamo wangu.
(I) Siwezi kukana imani yangu kwa ajili ya mwanamke
(ii) Kwa kuwa amekataa licha ya juhudi zote za usuluhishaji kugonga mwamba nimeamua kuwa huru ili nimtafute mchumba mpya atakae endana na imani yangu ya usabato.
Mahitaji yangu.
natafuta mchumba mpya msabato kama sio msabato awe tayari Kubadili dini yake na kuwa msabato umri kuanzia 26 - 35 asiwe na mtoto akiwa na form six to professor itapendeza kama anajishughulisha itapendeza zaidi.
Kuhusu mimi:
- msabato pure
- 30+ years of age
- permanent and pensionable government employee
- uwezo wa kutunza familia ninao 100%
- elimu yangu ni ya Chuo kikuuu.
Mawasiliano.
(I) pm
(ii) email adress: dastanbenard43@gmail.com