Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 590
- 482
Mtoa rushwa na mpokeaji wote ni...... Malizia mkuu jibu unaloSijatetea ila kuna utofauti.shoga ni mtu anaye*****.sasa hapo inaonekana jamaa ndo anapakuwa sio kupakuliwa.jinsi nilivyoona hyo picha,
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Aisee. Ni hatari sana. Muda sio mrefu tutaanza kuajiri wasaidizi wa huduma ya uumbajiKuwa mwanamme Dar ni ishu, wengi ni vigarasa tu.
Ahahaha.. Mkuu habari yako!?Kibibi cha Philadelphia kinachoburuza vichwa maji wengi WaTanzania!
Kibibi kinatoa ushauri unaoambatana na matusi,kejeri na dhihaka!
Hivi huyu niwakuitwa mshauri...?
daby mbona mnampenda sana hadi hamuambiliki??Teh teh nilijua tu. Kwa muonekano wake hawezi kuwa mwanaume kamili. Mwanaume mrembo anipitie mbali kwa kweli..
mange huwa anaongea fact alwayzKwa mara ya kwanza mange kaongea Fact[emoji23]
TECNO-C5 Wereva
Hivi ulivyoposti hapa ndio matumizi yenyewe au unataka matumizi yapi mkuu?
Unajua mimi nikiwaonaga huwa najiuliza, hivi kweli bongo tuna celebrity wa kike anaweza kufanya lolote kubwa la maana litakalo mfanya aache legacy itakayompa heshima kwanzia sasa na kwa vizazi vijavyo?Yaani mange anakuwa kama hajuwi tabia ya mademu wa kibongo? Watu tunawkaimbia kwa sababu wengi wao hawajitambui, yaani wana akili za kitoto sana na hii mitandao ndiyo inawaharibia badala ya kuwapa sifa. Wolper alichapwa miti na mkongo kisha mkongo akampiga picha Wolper akiwa uchi na kuwasambazia marafiki zake kuwa alishamlamba demu na ananuka.
Hahaha! Ebana salama kabisa,twaendelea na ujenzi wa Taifa letu...Ahahaha.. Mkuu habari yako!?
Naona unajaribu kuweka chumvi kwenye chai ya maziwa na hatimae ionekane haifai kwa matumizi.
Kwakweli wengi wao hawajatulia!Hivi hawa celebraties wa bongo movie sijui swahilhood hasa wa kike, kuna yeyote mwenye akili timamu kweli?
Utavumilia smell??Mwambieni Wolper kama yupo Serious Mandokwa nitampokea aje tu... sema kwetu sisi tunazaa sana... sio chini ya 5 kids.
Nimependa hapo pa "Mnajenga majina makubwa then mna**** na vinuka mkojo halafu mnaanika mitandaoni" lol
kama ana akili atajitafakari upya, wanawake wa bongo movie, ni nani aliyewaroga??? mpaka mkaamua K zenu kuzitoa 'sandakalawe' namna hiyo,
So Sad.
Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
how dare you, mpe heshima yake member mtukuka RutaKwahiyo NI bora kugawa k kama kashata kisa umeachwa? We huwa unatumia akili nyumbu?