Ferrenga
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 942
- 1,658
ila big up mzee...Huku hazijafika bado sjaziona
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila big up mzee...Huku hazijafika bado sjaziona
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Pamojaila big up mzee...
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wahenga mna mambo teh teh teh! What's dushe?Ataishije bila dushe kwa mfano!
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Eti wahenga![emoji125] [emoji125] [emoji125]Wahenga mna mambo teh teh teh! What's dushe?
Okay Mr zeroCha msingi ujumbe uupate, na hatimae umeupata
Unajua mimi nikiwaonaga huwa najiuliza, hivi kweli bongo tuna celebrity wa kike anaweza kufanya lolote kubwa la maana litakalo mfanya aache legacy itakayompa heshima kwanzia sasa na kwa vizazi vijavyo?
Nikiaangalia eti hawa akina Jackline Wolper ndio A-list female celebrities wa bongo na hivi vituko vyao nabaki nacheka tu, unachosema ni sahihi kabisa hawa mademu wa kibongo maarufu kwanza hawajielewi na pili hawajui uthamani wao na kingine hawajui kutumia umaarufu wao.
Ndio maana hata sionagi kama wanapata endorsement deals za maana sababu ya kutokujielewa kwao na kuandamwa na skendo za ovyo ovyo ambazo kimsingi zinashusha profile zao bila ya wao kujua.
Wenzao akina Julieth Ibrahim,Genevieve nnaji,Jack Appiah baada ya kuangaika miaka mingi kutengeneza majina yao nakuwa makubwa, sasa hivi wanapiga endorsement deals za maana kwanzia Nigeria mpaka South A. Sasa hawa wetu hapa wametengeneza majina makubwa halafu umaarufu wao unaishia Instagram kwenye mashindano ya kipuuzi, na hapo hapo hawajui ni kwanini kazi zao haziwalipi.
Kweli bongooo bado saana, eti wema sepetu ndio role model wa akina dada waliopo vyuoni kuna mambo mengine yanachekesha saaana.
kwani kuwa na PhD kama mkuu wa nchi, ama Propesa mapumba ndio kuwa wa maana?
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Sasa jiulize Kiba ni mwanaume wa maana? Only reason Jokate anamlilia Kiba ampige pumbu it's because anataka kuonekana kwenye media na kuimbwa ili ajisifie kwa wenzake kisha wamwibie pumbu zake......tunarudi palepale kuwa Bongo hakun macelebrity wa maana kwani wengi wao hawajitambui bado.
Anamaanisha wewe ni shoga rijaliUshoga ee! Nipe nilale na mkeo au mama yako atakupa majibu kama mm shoga