Mchumba mpya wa Wolper achafua hali ya hewa

Wolper amekuwa togwa ya msibani sasa...kila mtu anachota tu

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app


Jamvi la wageni na watu wameshamchoka sasa.....wanakuja mpaka wakongo kuja kumpiga miti na kumchukua picha akiwa uchi....hizi zote ni dalili za kutojitambua. Anyways macelebrity wa kibongo wote wako hivi, hawajitambui hata kidogo.
 


Kitu gani kinachokupa uhakika kama yeye ni mfanyaji? Hii picha ina nini cha ziada kiasi kwamba yeye asiwe mtendwa? Hapo mimi naona ni 50-50
 

Hicho ndo kinachofanya
Mm hua,nawaita wanaofanya hvo
Wote n mashoga

Wanatudalilisha wanaume



[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Unauhakika gani kama
Yy hafanywi? Kwa urembo
Wote huo alikua,nao

Hata girlfriend wang
Hampat kwa huo urembo

[Color= yellow]Triple A[/color]
Kuna mzuri sio sababu mzee.kuna mwanaume mzuri kama nabii yusuph?ila kama kuna watu walishamuona akifanyiwa.hapo kweli atakuwa shoga.ila mimi nilichoangalia kwenye hyo picha.kuna bottom na top.nikasema kwa jinsi hyo picha ilivyopigwa jamaa anaonekana ni top sio bottom,sasa mtu anataka uamini anachoamini yeye kwamba jamaa ni shoga,mimi hapo ndo napinga tumuite shoga kwa ushahidi upi?

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Nimependa hapo pa "Mnajenga majina makubwa then mna**** na vinuka mkojo halafu mnaanika mitandaoni" lol
kama ana akili atajitafakari upya, wanawake wa bongo movie, ni nani aliyewaroga??? mpaka mkaamua K zenu kuzitoa 'sandakalawe' namna hiyo,
So Sad.

Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
 
Kitu gani kinachokupa uhakika kama yeye ni mfanyaji? Hii picha ina nini cha ziada kiasi kwamba yeye asiwe mtendwa? Hapo mimi naona ni 50-50
Sawa.hayo ni maoni yako siwezi kukulazimisha uamini ninachoamini.ila kiufupi hvyo vitendo havifai.ila tusihukumu kwa chuki au kwa ujumla.ila mimi nilivyoona hyo picha.nashawishika kumuita jamaa BASHA sio SHOGA.maana ni wanaume wawili wamepiga picha kitandani.mmoja anaonekana na mapozi ya kike,mmoj anaonekana akiwa mwanaume kamili aliyejiamini.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Maskini nimemhurumia Wolper

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha Vijana wamechafuliwa sana ubongo na tabia za kijinga

Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
 
Wanaume wa Dar sijui wamekumbwa na nini au wanaharibiwa na bahari
 
Sijui kwanini hisia zangu zilimtazama kitofauti Sana huyu jamaa.. Namuhurumia Wolper Tu.
mkuu sio peke yako hata mimi aisee,nilipomuaona tu akili yangu ya tatu ikaniambia jamaa sio mwenzetu kihisia,maana si kwa muonekano aliokuwa nao aisee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…