Mchumba mpya wa Wolper achafua hali ya hewa

Kumbe mange ni mgawa K wa kimya kimya.....nouma sana

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kibibi cha Philadelphia kinachoburuza vichwa maji wengi WaTanzania!

Kibibi kinatoa ushauri unaombatana na matusi,kejeri na dhihaka!

Hivi huyu niwakuitwa mshauri...?
Ana tofauti gani na yule anayeita wenzake pumbavu
 
Iv wakuu tanzagiza imefiaga wapi?

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Namfananisha na Yule calish alieliwa na wema. Ila nahisi wema amejifunza.kama analiwa basi kimya kimya
 
Khaaa yani imefikia hatua mange ndo anonekana kuwa na hekima.
Kweli wolper kachemsha.
 
Reactions: nao
sijui kama ataufata huo ushauri.maana alimtukana sana na kumuita mnuka roho inapenda.
Tupambane na hali zetu.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Bcuz we mwenywe unasound kishoga shoga eti top na bottom. Huez kua straight ww
Hilo ndo tatizo la watanzania.ukiuliza mwizi kaiba nini.watakwambia kwanini unauliza na wewe ni MWIZI.
Pia mnapenda kujiona mawazo yako ndo sahihi kuliko mwenzako akikupinga tu na yeye anahusika
SIKULAUMU.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Bcuz we mwenywe unasound kishoga shoga eti top na bottom. Huez kua straight ww
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Agiza bapa moja. Hapo mkuu

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Aseeh kipofu anamfundisha kipofu mwenzie kutembea....Hanna kitu apo utumbo tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…