Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msagaji kamuoa Shoga duh hatari sana [emoji145]Gay na lesbian kwa hiyo ngoma droo[emoji23]
Kwa hiyo jamaa ni shoga daahMadudu yake ya nyuma ya bumburuka mtandaoni
![]()
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Je umeelewa nini katika picha
Hahaha! Ebana salama kabisa,twaendelea na ujenzi wa Taifa letu...
Japo kunabaadhi ya watu washaanza rasimi kuishi maisha kama ya mashetani(kama ilivyotabiriwa).
Ushauri gani huo wa mwanamama wenye lugha nzito na dhihaka.
Je! hii si kutaka kuteka akili za wafuasi wake..?
Wolper anaonekana ana upeo mdogo sana! How old is she?!
Halafu cha kustajaajibisha eti skendo za kipuuzi ndio wanazitumia kubaki kwenye limelight.Kwakweli wengi wao hawajatulia!
Wapo wapo tu na skendo zao za hovyohovyo!
[emoji106]Nothing empty... kumbe hata kopo tupu linaweza kuwa na hewa ndani.
kiukweli kabla ya kuanzisha uhusiano mpya lazima kujipa muda kutafakari uhusiano uliopita ili kujua unataka nini kwenye uhusiano ujao. kwa hili mange yuko sahihi.
Nimeipenda hiyo hapo kwenye RED! Nioneshe ilivyo MAMA!
Duh!!!kakomaa namna hile ndio anaumri huo sasa wakina Tunda watakuwa na umri gani?23 mkuu
Mhuuuuu 23?Huyo atakuwa na 27 or 2823 mkuu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Nadhani ndo lenyewe mkuu juzi kati lilikuja na uzi fulani hivi nimeusahau.
Nilimaindi sana kwenye ule uzi basi!!!
Hapo umemsahau sepenga.Wolper
Joket
Lulu
Hawa watu hawana bahat
Kwenye mapenz
Kila,wanapoingia wanaingia
Tu cha kike
[Color= yellow]Triple A[/color]