Mchumba - Mwanamke baadae awe "MKE".

Mchumba - Mwanamke baadae awe "MKE".

Joined
Aug 27, 2024
Posts
17
Reaction score
27
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu.

Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia awe rafiki/Mchumba lakini baada ya kufahamiana zaidi kitabia na hulka baina yetu tukiridhiana basi tufunge ndoa na kufurahia maisha pamoja.

Awe na sifa hizi: umri kuanzia miaka 30 mwisho miaka 36. ELIMU: kuanzia Bachelor degree au zaidi na sio chini ya hapo.
Awe public sector or private sector.

Awe na umbo la kike no matter she is black or white.

NB: Kama elimu yako ni Diploma or less than that, hata kama ni MSHANGAZI UNA FEDHA ZAKO NA BIASHARA ZAKO - sikuhitaji.

Mwanamke bora ni yule mwenye kujitambua thamani yake, anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu.

KARIBU SANA MKE WANGU MTARAJIWA 🙏🙏

Mengine tutayajadili pm.
 
Mkuu unatafutaje mwanamke Jf mwenye umri wa miaka 30 bila kugusia namna utakavyomhandle mtoto wake?
Wapo wa 30 to 36 or above na hawana watoto na bado wapo very good and well focused.

Naamini humu ndani nitapata mwanamke sahihi na nitadumu nae vizuri.

HAYO MENGINE KAMA YAPO TUTAYAONGEA HUKO PM AKIJA.

ASANTE SANA 🙏
 
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu.

Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia awe rafiki/Mchumba lakini baada ya kufahamiana zaidi kitabia na hulka baina yetu tukiridhiana basi tufunge ndoa na kufurahia maisha pamoja.

Awe na sifa hizi: umri kuanzia miaka 30 mwisho miaka 36. ELIMU: kuanzia Bachelor degree au zaidi na sio chini ya hapo.
Awe public sector or private sector.

Awe na umbo la kike no matter she is black or white.

NB: Kama elimu yako ni Diploma or less than that, hata kama ni MSHANGAZI UNA FEDHA ZAKO NA BIASHARA ZAKO - sikuhitaji.

Mwanamke bora ni yule mwenye kujitambua thamani yake, anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu.

KARIBU SANA MKE WANGU MTARAJIWA 🙏🙏

Mengine tutayajadili pm.
Add X kwa mbele....
 
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu.

Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia awe rafiki/Mchumba lakini baada ya kufahamiana zaidi kitabia na hulka baina yetu tukiridhiana basi tufunge ndoa na kufurahia maisha pamoja.

Awe na sifa hizi: umri kuanzia miaka 30 mwisho miaka 36. ELIMU: kuanzia Bachelor degree au zaidi na sio chini ya hapo.
Awe public sector or private sector.

Awe na umbo la kike no matter she is black or white.

NB: Kama elimu yako ni Diploma or less than that, hata kama ni MSHANGAZI UNA FEDHA ZAKO NA BIASHARA ZAKO - sikuhitaji.

Mwanamke bora ni yule mwenye kujitambua thamani yake, anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu.

KARIBU SANA MKE WANGU MTARAJIWA 🙏🙏

Mengine tutayajadili pm.
Hapo kwenye ELIMU kaka🏃‍♀️
 
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu.

Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia awe rafiki/Mchumba lakini baada ya kufahamiana zaidi kitabia na hulka baina yetu tukiridhiana basi tufunge ndoa na kufurahia maisha pamoja.

Awe na sifa hizi: umri kuanzia miaka 30 mwisho miaka 36. ELIMU: kuanzia Bachelor degree au zaidi na sio chini ya hapo.
Awe public sector or private sector.

Awe na umbo la kike no matter she is black or white.

NB: Kama elimu yako ni Diploma or less than that, hata kama ni MSHANGAZI UNA FEDHA ZAKO NA BIASHARA ZAKO - sikuhitaji.

Mwanamke bora ni yule mwenye kujitambua thamani yake, anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu.

KARIBU SANA MKE WANGU MTARAJIWA 🙏🙏

Mengine tutayajadili pm.
Hofu ya MUNGU, hii ndo point
 
Hakuna mke mwema wa umri huo utampata
Wapo tena wengi na wana heshima zao na kazi zao za maana tu and most of them are graduates / Bachelor degree holder and above.

After success in Education and their career now is a right time for them to get married.

Nawakaribisha kwa wenye upendo wa kweli na wenye uhitaji kama wangu.
 
Back
Top Bottom