Sidhani kwamba mtu huyu atakua bado hana mke wake maana huyu sio wakawaida ila mungu akusaidie ukikosa njoo kwangu mimi nimeishia la saba niliumwa nikakatazwa kubeba mizigo mikubwa ikabidi niache shule kwaajili nilishindwa kubeba madaftari makubwa saba..Habarini!
Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae
1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu.
2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana sichagui dhehebu
3. Awe na elimu iliyonizidi, Mimi nina diploma kwa sasa
4.awe mwajiriwa sekta binafsi au serikalini
5.awe mwenye kujituma,mtafutaji mwenye kuijali familia na mwenye kutambua majukumu yake km baba ni nn, Mimi pia ni mtafutaji yaani mbali na elimu yangu lkn najishughulisha na ujasiliamari.
6.Umri awe na miaka 29-34 me nina miaka 26
Nia yangu ni ya dhati, midhaha siipendi please
MUNGU AWABARIKI SANA.
.maelezo mengine mengi nafikili tutaelekezana
AM here forHabarini!
Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae
1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu.
2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana sichagui dhehebu
3. Awe na elimu iliyonizidi, Mimi nina diploma kwa sasa
4.awe mwajiriwa sekta binafsi au serikalini
5.awe mwenye kujituma,mtafutaji mwenye kuijali familia na mwenye kutambua majukumu yake km baba ni nn, Mimi pia ni mtafutaji yaani mbali na elimu yangu lkn najishughulisha na ujasiliamari.
6.Umri awe na miaka 29-34 me nina miaka 26
Nia yangu ni ya dhati, midhaha siipendi please
MUNGU AWABARIKI SANA.
.maelezo mengine mengi nafikili tutaelekezana
Ww tu ndo hauko seriousDuuh kumbe kuna watu wako serious ee?
[emoji3][emoji3]ntakuchapa ujue.Ww tu ndo hauko serious
[emoji15] [emoji15] [emoji15]......... sasa kama huna chura kwa nini unapoteza mda wako hapa??!Sina chura wala bata, ni full pasi
Sina chura, bata wala wowoooo ni full pasi
Unaniudhii.Eti amefuata nini.Kama hujamwelewa kausha mbona Na dream Killers mpo wengiiiiii??Kama kweli unampenda yesu huku umefuata nini mama
>25 years you are unmarried, single are those below 25Niko single.
mkuu na huku upo? ulipotea sana hata kule kwenye ma hi-techDuuuu!
Nimepata moja tu, la miaka, labda na namba 5.
Sina hofu ya Mungu sababu siamini kama Mungu yupo, sijaajiriwa serikalini wala binafsi kwa sababu nachukia sana kuajiriwa, I wont wish it, even to my worst enemy. Nimekosa sifa, kila la kheri ndugu.
kwani sifai kuchumbia🙄
Mkuu nipo, ila huyo jamaa kwenye avatar yako amesema ni kazi tu, kwa hiyo tumepunguza kuchumgulia humu.mkuu na huku upo? ulipotea sana hata kule kwenye ma hi-tech