Ahahahaaaaaa embu muulize huyo anayetaka mke, mie nilishindwa kuuliza ndio maana nikawaitaMambo si ndio haya sasa,kuitana kwenye fursa ndio mpango mzima. Hizo pesa ziko sh ngapi? Maana hata elfu5 nayo ni pesa ujue!!!
nakuja pmBila shaka sijakosea jukwaa,
Anahitajika mke wa baadae mwenye sifa zifuatazo. Umri 20-30, Dini Mkristu
Sifa zangu :
1) Umri 30 years na miezi mitano.
2) Msomi wa degree mbili, mwajiriwa.
3) Pesa zipo
Kama pesa ipo usijali dada kuhusu kabila anaweza kubadilishanakuja pm
but we kabila gani na kwa sasa upo wapi??
Namsubiri mchumba aseme ili nijue kama najitosa au la!Ahahahaaaaaa embu muulize huyo anayetaka mke, mie nilishindwa kuuliza ndio maana nikawaita
Okay ngoja tusubirie tamko la muhusika huwenda akawa Shem [emoji28][emoji28][emoji28]Namsubiri mchumba aseme ili nijue kama najitosa au la!
Hebu mwambie anitumiepo kwanza za kufikiria hilo jukumu lililopo mbele yangu.Okay ngoja tusubirie tamko la muhusika huwenda akawa Shem [emoji28][emoji28][emoji28]
Inamaana yeye kakimbia uzi wake?Hebu mwambie anitumiepo kwanza za kufikiria hilo jukumu lililopo mbele yangu.
Hebu fanya hivyo mama, nitakutoa kidogo.Inamaana yeye kakimbia uzi wake?
Maana angekuwepo angeshakisikia tunachokizungumza. Wacha nifanye juhudi za kumtafuta nimueleze kinagaubaga.