Mchumba na kuwa mke

Mchumba na kuwa mke

mahmouddy

Senior Member
Joined
Jan 29, 2015
Posts
128
Reaction score
30
Habari wana jamvi,

Kama kichwa cha habari apo juu kinavyosomeka,

Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1.Awe Muislam mwenye imani na dini
2.Umri 22-24
3.Elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea
4.Mrefu na maji ya kunde
5.Asiye na kazi/aliyeajiriwa/jiajiri

Mimi ni mtumishi wa umma na kwa details nyingi tutapeana tukishaelewana

Nahitaji mtu aliye serious kwa mipango yetu endelevu.

Kama haupo serious tafadhari usije PM

Asanteni saana.
 
Back
Top Bottom