Habari wana jamvi,
Kama kichwa cha habari apo juu kinavyosomeka,
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1.Awe Muislam mwenye imani na dini
2.Umri 22-24
3.Elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea
4.Mrefu na maji ya kunde
5.Asiye na kazi/aliyeajiriwa/jiajiri
Mimi ni mtumishi wa umma na kwa details nyingi tutapeana tukishaelewana
Nahitaji mtu aliye serious kwa mipango yetu endelevu.
Kama haupo serious tafadhari usije PM
Asanteni saana.
Kama kichwa cha habari apo juu kinavyosomeka,
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1.Awe Muislam mwenye imani na dini
2.Umri 22-24
3.Elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea
4.Mrefu na maji ya kunde
5.Asiye na kazi/aliyeajiriwa/jiajiri
Mimi ni mtumishi wa umma na kwa details nyingi tutapeana tukishaelewana
Nahitaji mtu aliye serious kwa mipango yetu endelevu.
Kama haupo serious tafadhari usije PM
Asanteni saana.