Mchumba serious anahitajika

Wewe umeshaoa? Huna mwanamke amsaidie kutafuta? Hana sisters etc

Mkuu Mbingopopo nimeoa and am strongly attached to single wife kama nilivyoapa kanisani mbele ya waumini na mbele za Mungu.Mke wangu naye yuko kwenye hiyo exercise pia methodology zinatofautiana. Hana sister yuko pekee yake kwa mama yake
 

Mkuu Kaunga mimi ni Kiroroma na wala siyo Fr. Japo niliutamani sana sikupata mtu wa kunipeleka seminar
 
<br />
<br />
Mi nipo tayari,ni-pm contacts zake,najua nimetimiza vigezo vyote..
 
duh hapo kwa dini tu jamani....kazi kweli kweli...ni lini atakuja mwenye vigezo ninavyo qualify??😛layball:
 
hana muda wa networkinng,,, muda na huyo umtafutiaye atakuwa nao.,aoe mzungu basi,wabongo hawamfai,sijaipenda staili yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…