Mchumba wa Flaviana Matata utata

Mchumba wa Flaviana Matata utata

Amechumbiwa wapi wewe waKati kapigwa changa ili aweze kutanua mapaja vizuri tU,kama Kweli nani aliemwona????pia hivi flaviani hataki ujiko kweli na kuniambia amefanya private mno hadi mapicha yasionekane????hahahaha wengi huchumbiwa kwa maneno TU si kwamatemndo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mbona picha zilimwagwa kibao mtandaoni wakati wa tukio.
 
Namkubali bi dada so siri anapeperusha bendera yetu vyema kimataifa. Athante!

Haya wote tunajua amechumbiwa kwa sasa, Haya hongera binti. Utata ni nani aliyemchumbia? Why anafanya siri watanzania kutomjua mchumba wake? Na msiseme why nauliza, cause she is a Public Figure so it's not a regular person am asking here. Kwa anayemjua atupie picha hapa tumwone.

flaviana.JPG
Tatizo lenu Watanganyika huwa mna haraka sana, mwenyewe alitaka mjue mambo kwa awamu. Kwanza muone pete, kisha mumjue anayetaka kumuoa, halafu tarehe ya harusi. Lakini mmeshindwa kabisa kuvumilia mmeanza kudai picha ya shemeji/wifi yenu. Haya sasa huyu hapa kwenye picha.
Ova
 
View attachment 221794
Tatizo lenu Watanganyika huwa mna haraka sana, mwenyewe alitaka mjue mambo kwa awamu. Kwanza muone pete, kisha mumjue anayetaka kumuoa, halafu tarehe ya harusi. Lakini mmeshindwa kabisa kuvumilia mmeanza kudai picha ya shemeji/wifi yenu. Haya sasa huyu hapa kwenye picha.
Ova

dah! mashalaah! mukaka muhendisamuuu balaaa.
 
Acha kuzuga unapenda hii mambo
Ndo maana upo hapa...unapenda ubuyu
Wewe just admit 😆😆😆😆😆

Hahahaaaa Winnie umenichekesha ujue,ubuyu oyeeeeee 😆😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom