Amechumbiwa wapi wewe waKati kapigwa changa ili aweze kutanua mapaja vizuri tU,kama Kweli nani aliemwona????pia hivi flaviani hataki ujiko kweli na kuniambia amefanya private mno hadi mapicha yasionekane????hahahaha wengi huchumbiwa kwa maneno TU si kwamatemndo
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Namkubali bi dada so siri anapeperusha bendera yetu vyema kimataifa. Athante!
Haya wote tunajua amechumbiwa kwa sasa, Haya hongera binti. Utata ni nani aliyemchumbia? Why anafanya siri watanzania kutomjua mchumba wake? Na msiseme why nauliza, cause she is a Public Figure so it's not a regular person am asking here. Kwa anayemjua atupie picha hapa tumwone.
Nadhani atakuwa Deo Masawe wa ATL.
Mbona anamuwekaga mara kanisapoti mara blabla mbona yupo Matangazoni , wewe tu na Mitaa unayopita !
View attachment 221794
Tatizo lenu Watanganyika huwa mna haraka sana, mwenyewe alitaka mjue mambo kwa awamu. Kwanza muone pete, kisha mumjue anayetaka kumuoa, halafu tarehe ya harusi. Lakini mmeshindwa kabisa kuvumilia mmeanza kudai picha ya shemeji/wifi yenu. Haya sasa huyu hapa kwenye picha.
Ova
dah! mashalaah! mukaka muhendisamuuu balaaa.
dah! mashalaah! mukaka muhendisamuuu balaaa.
waTZ bhana eti mukulu...nasikia ooh nasikia...
tehe tehe tehe....
Nadhani atakuwa Deo Masawe wa ATL.
Sana safi sana
Oh my God Deo masawe wa grace muro.huyu Deo aliekuwa anakaa Washington state .hivi watu wanafanya research haha .nimebakia mdomo waziiiiiiiiii.
Grace Muro aliyesomaga SRSS?
Huyo huyo.mweupeee.hii ni news to me I'm shaking.masaki
Huyo huyo.mweupeee.hii ni news to me I'm shaking.masaki
Acha kuzuga unapenda hii mambo
Ndo maana upo hapa...unapenda ubuyu
Wewe just admit 😆😆😆😆😆
Woooow!!!
I know her.
We were classmates.