Huyo aliye hvyo anajiita Mlokole na sio kweli ndvyo alivyo...Asilimia kubwa ndio wapo hivyo, na Mungu akubariki
Sawa umeshinda, imani yako itakuponya!. Be aware!, sharks are swimming!Huyo aliye hvyo anajiita Mlokole na sio kweli ndvyo alivyo...
Nimekuelewa asanteSawa umeshinda, imani yako itakuponya!. Be aware!, sharks are swimming!
Baadhi yao wako hivyoHuyo aliye hvyo anajiita Mlokole na sio kweli ndvyo alivyo...
Asante kwa kunitia moyoutapata tu usiogope,tena humu humu,kama kuna wachawi humu,ndio itakua walokole??just pray,upate mtu unayemtaka kati ya hao wanaokujia PM
Mungu akujalie upate aissee!. Caution!: walokole wengi ni waongo waongo, uzinzi ni kawaida kwao.....wengi wao hutumia njia ya kujificha ficha kufanya madhambi yao, kuwa makini : awe makini........maisha yamebadilika. Aliyeko ndani na aliyeko nje hakuna tofauti zaidi ya kwenda kukusanyika kwa unafki ile siku yao waliyokubaliana kukusanyika pamoja..
Asante kama umenielewa!! na Mungu akubaliki sana.
Yaani unataka mcha Mungu , alafu aache watoto wake aje kwako huyo hata kuwa mcha Mungu bali shetani
Habari dotodoto naomba tuwasiliane kwa chikongolo@gmail.com
Lakin Dada tukuwe Serious.. Mwanaume yoyote ambae yupo 35+ na anafany biashara na kuingza mtonyo halali na hadi sasa hajaowa bas hawez kukaa JF kutafuta mke.. Mtu huyo either sio Mlokole au haamin kabisa mahusiano ya Ndoa. Wew nenda kanisani sali sana Mungu atakuona na utampata mwenye Mapenz ya Dhat naa upunguze kuweka Vigezo kama unataka kumuajiri mtu B.O.TKwa kusema hivi tuu sikuhitaji . asante kwa kujaribu .
Hata mimi namshangaa kwani makanisa ya kilokole hayaoni mpaka aje atafute walokole humu JF.??!!!kijana wa kilokole aliye serious na ulokole huwez kumpata kwa style hii dada yangu
Nikifanikiwa hakuna shidaDada doto nitaomba utupe mrejesho
yaani watakuja kama malaika usije kusex na mtu huku dada utakoma nakuambia kama akija umesema unataka mume sio? akuoe kwanza
Hapana, pole!Mimi sio mlokole Ila ni mkristo thabiti, sasa sijui nafas itapatikana?
Kuna dini gani?mmmmhh hii hatareee humu hakuna wakristo!!
hujapata tu ? ukipata wanywaji niforwadieKuna dini gani?
Sawahujapata tu ? ukipata wanywaji niforwadie
Toa pia sifa zakoHabari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .
Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!
dotokulwa11@gmail.com