Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
anasali kwa gwajimaToa pia sifa zako
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]anasali kwa gwajima
Mimi n mnywaji ila sio wa kileo cha aina yeyotewanywaji wote nitumie contacts zao ila wasiwe wanywa viroba
Zinapatikana PM kwa walio na nia thabiti tuuToa pia sifa zako
Hapanaanasali kwa gwajima
Ameweka email yake, mtumie ujumbe.
Na kama utakuwa mtu sahihi kwake nadhani mjadala utakuwa umeishia hapa, au!
wewe nawe ni mwanamke jipu! kunywa sio tatizo atiiii??????? hatuna wanawake humu!!uvutaji sijasema ila mnywaji kawaida tuu.hata biblia haijakataza pombe mbona?
Hebu njoo Pm nikushauli yawezekana hujui!Habari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .
Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!
dotokulwa11@gmail.com
Umeshamaliza kuonja kila aina ya asali......na sasa unataka mwanaume ambaye ni mcha mungu........hahahahaha umepoteaa ww......katafute haohao waliobobea kwenye kuchovya asali ila kumpata mlokole huwez kumpata kamweeHabari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .
Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!
dotokulwa11@gmail.com
Umeshamaliza kuonja kila aina ya asali......na sasa unataka mwanaume ambaye ni mcha mungu........hahahahaha umepoteaa ww......katafute haohao waliobobea kwenye kuchovya asali ila kumpata mlokole huwez kumpata kamwee
Mathayo 15:18
Mithali 11:17
Hosea 4:6Mithali 6:16-19
AsanteMy dear sister...Kuwa makini....mume wa sifa tajwa hapo juu utampata katika jamii yako..wapo wengi...muhimu kama unapenda mme mwema anza kuwa mwema kwanza..Mpe Yesu Maisha Yako sio kwa ajili ya mume...but ni kwa ajili ya maisha yako ya kimwili na kiroho...kuwa active katika makongamano ya vijana na kumtumikia Mungu but sio kwa lengo la kupata mume No...Ila kama wajibu wa mkristo wa kweli...ukiwa na kampani hiyo na ukizungukwa na watu wema automatic utakuwa na large selection ya mume mwema...But bila kusahau Maombi na kumuomba Mungu akupe kibali cha Ester....soma kitabu cha Esther na Mfanye awe role model wako...Esther hakupata mume kwa mapambo..urembo....n.k...but Mungu alimpa kibali mbele ya mfalme...naongea haya coz wanawake wengi tunajidanganya kuvaa mavazi ya kikahaba...nywele bambucha....n.k mwanamke wa dizain hiyo hawezi tongozwa na mwanaume mwema...automatic atapata wa dizain yake...but ukijitunza na kujistili kwa mavazi ya adabu na heshima basi ina chance kubwa sana ya kumpata Mume mwema
Nikutakie kila la kheri my sis....
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app