Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Habari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .

Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!

dotokulwa11@gmail.com
Hebu njoo Pm nikushauli yawezekana hujui!
 
Habari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .

Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!

dotokulwa11@gmail.com
Umeshamaliza kuonja kila aina ya asali......na sasa unataka mwanaume ambaye ni mcha mungu........hahahahaha umepoteaa ww......katafute haohao waliobobea kwenye kuchovya asali ila kumpata mlokole huwez kumpata kamwee
 
Umeshamaliza kuonja kila aina ya asali......na sasa unataka mwanaume ambaye ni mcha mungu........hahahahaha umepoteaa ww......katafute haohao waliobobea kwenye kuchovya asali ila kumpata mlokole huwez kumpata kamwee

Mithali 12:15
 
My dear sister...Kuwa makini....mume wa sifa tajwa hapo juu utampata katika jamii yako..wapo wengi...muhimu kama unapenda mme mwema anza kuwa mwema kwanza..Mpe Yesu Maisha Yako sio kwa ajili ya mume...but ni kwa ajili ya maisha yako ya kimwili na kiroho...kuwa active katika makongamano ya vijana na kumtumikia Mungu but sio kwa lengo la kupata mume No...Ila kama wajibu wa mkristo wa kweli...ukiwa na kampani hiyo na ukizungukwa na watu wema automatic utakuwa na large selection ya mume mwema...But bila kusahau Maombi na kumuomba Mungu akupe kibali cha Ester....soma kitabu cha Esther na Mfanye awe role model wako...Esther hakupata mume kwa mapambo..urembo....n.k...but Mungu alimpa kibali mbele ya mfalme...naongea haya coz wanawake wengi tunajidanganya kuvaa mavazi ya kikahaba...nywele bambucha....n.k mwanamke wa dizain hiyo hawezi tongozwa na mwanaume mwema...automatic atapata wa dizain yake...but ukijitunza na kujistili kwa mavazi ya adabu na heshima basi ina chance kubwa sana ya kumpata Mume mwema


Nikutakie kila la kheri my sis....

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
My dear sister...Kuwa makini....mume wa sifa tajwa hapo juu utampata katika jamii yako..wapo wengi...muhimu kama unapenda mme mwema anza kuwa mwema kwanza..Mpe Yesu Maisha Yako sio kwa ajili ya mume...but ni kwa ajili ya maisha yako ya kimwili na kiroho...kuwa active katika makongamano ya vijana na kumtumikia Mungu but sio kwa lengo la kupata mume No...Ila kama wajibu wa mkristo wa kweli...ukiwa na kampani hiyo na ukizungukwa na watu wema automatic utakuwa na large selection ya mume mwema...But bila kusahau Maombi na kumuomba Mungu akupe kibali cha Ester....soma kitabu cha Esther na Mfanye awe role model wako...Esther hakupata mume kwa mapambo..urembo....n.k...but Mungu alimpa kibali mbele ya mfalme...naongea haya coz wanawake wengi tunajidanganya kuvaa mavazi ya kikahaba...nywele bambucha....n.k mwanamke wa dizain hiyo hawezi tongozwa na mwanaume mwema...automatic atapata wa dizain yake...but ukijitunza na kujistili kwa mavazi ya adabu na heshima basi ina chance kubwa sana ya kumpata Mume mwema


Nikutakie kila la kheri my sis....

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Asante
 
wewe nshakustukia ni chizi
jf BIBIdole.jpg
 
Best of luck.. unatafuta aliyeokoka naamini na wewe umeokoka pia. Kama umeokoka kupata mtu si shida,tunaamini Roho Mtakatifu anatuongoza vyema,hivyo atakuongoza vyema katika kuchagua chaguo sahihi.
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom