Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

Yaani kwa jinsi mtaani kulivyokua na vitoto vitamu mtu aje kwako wewe ambaye k yako imepokea kila aina ya pingili?huko serous wewe hebu ona mwenyekiti wa ippp mzee wetu na umri wake kaamua kuchukua dogodogo,tena ulivyo wa ajabu eti alieokoka!!umechezesha weee ukaona sasa utafuke kijana umalize mayai yake bure
 
Ningekuona wa maana kama ungeongea na pastor wa hiyo church yako pia huenda angekuhifadhi
 
Yaani wapendwa wote kanisani kwako hawana hizo sifa uje umpate humu?
 
Je una mtoto?
Umri wako?
Hawezi kuwa mlokole anywe pombe na avute sigara?
 
May God fulfill your desire my sister, usiksatishwe tamaa na majibu ya baadhi ya watu. Wewe jikite kwenye kusudi lako, naamini kuna walokole wanaohitaji wake humu Jf na Mungu anajibu maombi kwa njia nyingi.
GOD bless.
 
Habari Za Leo Wana Jf. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema . Sifa za mchumba ni:
1) Mkristo lakini asiwe wa jina , awe mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu. ( Mlokole )
2)Awe na miaka kuanzia 35-40 na aliye single.
3)Awe na watoto wasiozidi wawili tuu.
4) Mwenye kazi na miradi yake halali inayoingiza kipato tafadhali.
5) Asiwe na dramas na mzazi mwenzie. Akiwa mjane itakuwa sawa pia. Awe ameshamaliza ujana wake .Sihitaji players nimewachoka maana wamenipotezea muda wangu na mengineyo mengi tuu.
6) Awe tayari kupima Afya
7)Awe mkubwa wa familia , atakayeoongoza familia katika misingi ya Yesu Kristo. Asiwe mmnywaji Pombe wala mvuta sigara .
8)Awe na upendo wa kweli kwa familia zote mbili .

Jamani naomba tuelewane kuwa siko hapa kucheza niko serious . Sitaki kuchezewa akili na kupotezewa Muda nimeezeka ambako siko baada ya wao kufanikiwa kimaisha wakaanza viburi na dharau, kama unajiona hauko tayari naomba usinitafute .Kama uko serious naomba tuwasiliane . Kwa walio nnchi za Nnje tafadhali karibuni sana . Naweza kuwa na mahusiano ya mbali nilishawahi kufanya hivyo na haikunisumbua Mimi. Niko tayari kujibu kuhusu Mimi PM kwa walio serious na wenye nia ya kweli tuu . Asante nashukuru Sana na Mungu awabariki. Asante!

dotokulwa11@gmail.com
Dada Mie nnaweza kuw na sifa kama nne au 6 hapo lakin hiyo ya Ulokole cjabarikiw.. Lakin ukiniahid kuw wee hapo ulipo unafanana na Kim Kardashian au hata Zari The Bosslady..

Aaaki Mungu wa Israel aliewabariki wana wa Misri na kumpa Baraka Mfalme Farhao kuamuru Miamba na Majabari.. Hakika Nitaokoka kwa Ajli yetu mim na wew
 
May God fulfill your desire my sister, usiksatishwe tamaa na majibu ya baadhi ya watu. Wewe jikite kwenye kusudi lako, naamini kuna walokole wanaohitaji wake humu Jf na Mungu anajibu maombi kwa njia nyingi.
GOD bless.
Asante ndugu yangu
 
Me nimeokoka lakini nilipata kinywaji pia katika harusi ya Cana
 
Dada Mie nnaweza kuw na sifa kama nne au 6 hapo lakin hiyo ya Ulokole cjabarikiw.. Lakin ukiniahid kuw wee hapo ulipo unafanana na Kim Kardashian au hata Zari The Bosslady..

Aaaki Mungu wa Israel aliewabariki wana wa Misri na kumpa Baraka Mfalme Farhao kuamuru Miamba na Majabari.. Hakika Nitaokoka kwa Ajli yetu mim na wew
Kwa kusema hivi tuu sikuhitaji . asante kwa kujaribu .
 
Ushauri wangu ni huu...
Kila mtu ana mapungufu kunapotokea mgongano wa tabia yake na ya meingine...
Mme/mke mwema mtu hupata kutoka kwa BWANA..
Ukitangaza hapa nahisi sio sahihi kwani hakuna mtu aliye mhitaji asiyejifia vyema mradi apate anachokitaka.... So, unaweza mpata humu ila sasa asiwe sahihi......
Mlokole wa kweli si atakaye jisifia au kujitambulisha kwako.... Bali ni yule uliyemshuhudia matendo yake nayo yakasadifu imani yake....
MTAFUTE BWANA YESU naye ni Jibu tosha...
Cha muhimu ni:- Usiende mbele za MUNGU ukinung'unika.. Pia usiweke mentality kuwa MUNGU hatakujibu mapema(yaani msukumo wa uhitaji wako ukakufanya ukose subira).... Muulize pia MUNGU mapenzi yake ni yapi kwako.. Na uombe mapenzi yake yatimizwe.....
Hakuna kitu kizuri kama mapenzi ya MUNGU yakitimizwa katika Maisha yako....
MUNGU WANGU WA MBINGUNI AKUSAIDIE...
 
Dada Mie nnaweza kuw na sifa kama nne au 6 hapo lakin hiyo ya Ulokole cjabarikiw.. Lakin ukiniahid kuw wee hapo ulipo unafanana na Kim Kardashian au hata Zari The Bosslady..

Aaaki Mungu wa Israel aliewabariki wana wa Misri na kumpa Baraka Mfalme Farhao kuamuru Miamba na Majabari.. Hakika Nitaokoka kwa Ajli yetu mim na wew
Kwa kusema hivi tuu sikuhitaji . asante kwa kujaribu .
 
Ushauri wangu ni huu...
Kila mtu ana mapungufu kunapotokea mgongano wa tabia yake na ya meingine...
Mme/mke mwema mtu hupata kutoka kkwawa BWANA..
Ukitangaza hapa nahisi sio sahihi kwani hakuna mtu aliye mhitaji asiyejifia vyema mradi apate anachokitaka.... So, unaweza mpata humu ila sasa asiwe sahihi......
Mlokole wa kweli si atakaye jisifia au kujitambulisha kwako.... Bali ni yule uliyemshuhudia matendo yake nayo yakasadifu imani yake....
MTAFUTE BWANA YESU naye ni Jibu tosha...
Cha muhimu ni:- Usiende mbele za MUNGU ukinung'unika.. Pia usiweke mentality kuwa MUNGU hatakujibu mapema(yaani msukumo wa uhitaji wako ukakufanya ukose subira).... Muulize pia MUNGU mapenzi yake ni yapi kwako.. Na uombe mapenzi yake yatimizwe.....
Hakuna kitu kizuri kama mapenzi ya MUNGU yakitimizwa katika Maisha yako....
MUNGU WANGU WA MBINGUNI AKUSAIDIE...
Ushauri wangu ni huu...
Kila mtu ana mapungufu kunapotokea mgongano wa tabia yake na ya meingine...
Mme/mke mwema mtu hupata kutoka kwa BWANA..
Ukitangaza hapa nahisi sio sahihi kwani hakuna mtu aliye mhitaji asiyejifia vyema mradi apate anachokitaka.... So, unaweza mpata humu ila sasa asiwe sahihi......
Mlokole wa kweli si atakaye jisifia au kujitambulisha kwako.... Bali ni yule uliyemshuhudia matendo yake nayo yakasadifu imani yake....
MTAFUTE BWANA YESU naye ni Jibu tosha...
Cha muhimu ni:- Usiende mbele za MUNGU ukinung'unika.. Pia usiweke mentality kuwa MUNGU hatakujibu mapema(yaani msukumo wa uhitaji wako ukakufanya ukose subira).... Muulize pia MUNGU mapenzi yake ni yapi kwako.. Na uombe mapenzi yake yatimizwe.....
Hakuna kitu kizuri kama mapenzi ya MUNGU yakitimizwa katika Maisha yako....
MUNGU WANGU WA MBINGUNI AKUSAIDIE...
Amina . Asante.
 
Mungu akujalie upate aissee!. Caution!: walokole wengi ni waongo waongo, uzinzi ni kawaida kwao.....wengi wao hutumia njia ya kujificha ficha kufanya madhambi yao, kuwa makini : awe makini........maisha yamebadilika. Aliyeko ndani na aliyeko nje hakuna tofauti zaidi ya kwenda kukusanyika kwa unafki ile siku yao waliyokubaliana kukusanyika pamoja..
Asante kama umenielewa!! na Mungu akubaliki sana.
 
Safari ya maisha ni ngumu sana
Ukimwona ambaye ni mzinzi sio Mlokole.... Muigizaji...
Plz note hyo
Mungu akujalie upate aissee!. Caution!: walokole wengi ni waongo waongo, uzinzi ni kawaida kwao.....wengi wao hutumia njia ya kujificha ficha kufanya madhambi yao, kuwa makini : awe makini........maisha yamebadilika. Aliyeko ndani na aliyeko nje hakuna tofauti zaidi ya kwenda kukusanyika kwa unafki ile siku yao waliyokubaliana kukusanyika pamoja..
Asante kama umenielewa!! na Mungu akubaliki sana.
 
Yaani unataka mcha Mungu , alafu aache watoto wake aje kwako huyo hata kuwa mcha Mungu bali shetani
 
utapata tu usiogope,tena humu humu,kama kuna wachawi humu,ndio itakua walokole??just pray,upate mtu unayemtaka kati ya hao wanaokujia PM
 
Back
Top Bottom