Hapa ofisini kuna dada mmoja amezuzuliwa na penzi la FACEBOO.
Hili penzi la kichina limemuingia mwenetu kiasi kwamba kazi hafanyi, kila siku rundo la viporo linazidi kuwa kubwa.
Je tumsaidieje? Tumemsema lakini hasikii??
Hapa ofisini kuna dada mmoja amezuzuliwa na penzi la FACEBOO.
Hili penzi la kichina limemuingia mwenetu kiasi kwamba kazi hafanyi, kila siku rundo la viporo linazidi kuwa kubwa.
Je tumsaidieje? Tumemsema lakini hasikii??
Kweli penzi ni kikohozi
Sasa huyo mwenza ameshakutana nae au?
Hapa ofisini kuna dada mmoja amezuzuliwa na penzi la FACEBOO.
Hili penzi la kichina limemuingia mwenetu kiasi kwamba kazi hafanyi, kila siku rundo la viporo linazidi kuwa kubwa.
Je tumsaidieje? Tumemsema lakini hasikii??
hata wewe nazjaz ulizuzuliwa katika FACEBOOK c ndiyo mpk ukatata umuoneshe mtu matiti yako kupitia skype....au?
hata wewe nazjaz ulizuzuliwa katika FACEBOOK c ndiyo mpk ukatata umuoneshe mtu matiti yako kupitia skype....au?
Mbona wapo wanaozuzuliwa na penzi la Avatar hapa JF
Hapa ofisini kuna dada mmoja amezuzuliwa na penzi la FACEBOO.
Hili penzi la kichina limemuingia mwenetu kiasi kwamba kazi hafanyi, kila siku rundo la viporo linazidi kuwa kubwa.
Je tumsaidieje? Tumemsema lakini hasikii??