Mchumba wa Miss Judith!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,199
Reaction score
8,761
Wadau,
Mtakumbuka kuwa Miss Judith alitushirikisha kwenye maombi ya siku 30 za kumteua wa kuishi naye daima dumu.
Kwa mijibu wa mahesabu aliyojiwekea mwenyewe ilitakiwa by 01/june 2011 atushirikishe majibu!
Bahati mbaya sikuwepo majamvini siku hizo, hivi alileta feedback kuwa amefanikiwa kumwingiza tunduni huyo jamaa?





 
Ngoja aje Mwenyewe kutujibu, nimemuona kule Busy na Babu wa loliondo
 
Binafsi sijaona kama amesema ama la,labda tusubiri!
 
aaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiii!!!!! unamtaka wewe??? teh teh teh
Laa Hasha!
Mimi nilioa muongo mzima uliopita!
Hii itawasidia baadhi ya bachela na sinia-bachela wa hapa ndani in case kama maombi yale hayakuzaa.
 

Mhnnnnn sijui maana hilo swala limekuwa na usili mkubwa.
 
Laa Hasha!
Mimi nilioa muongo mzima uliopita!
Hii itawasidia baadhi ya bachela na sinia-bachela wa hapa ndani in case kama maombi yale hayakuzaa.



aaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!
 
paka jimy umenikumbusha mkuu....kweli tunasubiri feedback.......lakini pia hapo katikati ulitokea mushikeli mkubwa sana kati yake na familia ya upande wa pili( kwa mchumba)
 
paka jimy umenikumbusha mkuu....kweli tunasubiri feedback.......lakini pia hapo katikati ulitokea mushikeli mkubwa sana kati yake na familia ya upande wa pili( kwa mchumba)
Dont tell me!
Mkuu umejuaje haya?..Au alipandisha bandiko?...au mkuu una ujirani nae nini?
 
paka jimy umenikumbusha mkuu....kweli tunasubiri feedback.......lakini pia hapo katikati ulitokea mushikeli mkubwa sana kati yake na familia ya upande wa pili( kwa mchumba)
Mnaishi jirani nini kamanda?
 
Aaaah is it too Late??!!!!!!:A S 12:

Ningekwambia usihofu wamejaa wanawake tele.....lkn kusema ukweli wanawake wa quality yake ni wachache sana hapa duniani. Kwa hiyo pole sana, lakini unaweza pata mbora zaidi au aliye chini kidogo kwa ubora, usife moyo. Fanya maombi tu. Mungu ni muweza
 
paka jimy umenikumbusha mkuu....kweli tunasubiri feedback.......lakini pia hapo katikati ulitokea mushikeli mkubwa sana kati yake na familia ya upande wa pili( kwa mchumba)

Edson mbona unataka kuharibu hali ya hewa?
 
kaka nilikudokeza hii kitu...umesahau....
hehehehehe nimekusoma kiongozi!! kwa hiyo mambo ni valu valu hakuna cha mchumba wala nini? wazi wa msela walishtuka nini wakajua mwanao anata kuolewa badala ya kuoa? Isije kua kuna ndugu wa msela alipita hapa JF akaona akaenda kuwashtua madingi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…