Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Mungu awatangulieNampenda sana mkuu, wala siko nae kimkakati [emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Amen!Mungu awatangulie
Kakojoe ulale wewe [emoji1]Mqanamume na utu uzima wako unaamini kabisa kuwa umeokoka? Labda nikuulize, umeokoka na nini?
[emoji2][emoji2]Kama ulikuwepo
Kuna dogo mmoja naishi kamaliza chuo , hana ajira ila kila kukicha cha kwanza ni kufungua wasafi tv [emoji2]
Mkuu nje ya mada kidogo, unapimaje hii?Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa
😀😀😀Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Hako kanafaa kuolewa kabisa ndugu yangu .Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
Papa ameshakubariki? 🤣🤣Kakojoe ulale wewe [emoji1]
Labda anataka awe kama akina Halima MdeeKumjua Lowassa ndio exposure? Kama anamjua Yesu na kumwamini inatosha sana kuwe mke. Halafu mke awe na exposure kwenye siasa itasaidia nini katika ustawi wa familia yenu?
[emoji28][emoji28]Hako kanafaa kuolewa kabisa ndugu yangu .
Siku unachukua picha ya Clatous Chota Chama unakaambia huyo ndiye raisi wa Tanzania kataamini yaani kiufupi hao ndiyo wazuri unamuendesha utakavyo sio haya magurudende ya mjini kutwa yanajua kila kitu hapa mijini
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu. Papa mpaka ndoa yani [emoji28]Papa ameshakubariki? [emoji1787][emoji1787]
Mkuu, wewe sio baharia nini? Mbona rahisi sana [emoji2]Mkuu nje ya mada kidogo, unapimaje hii?
[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23]Mainda Mai doutaa
Kwan lazima ajue kila kitu?Natumaini j2 ya leo ni njema kwetu sote.
Katika harakati za kutafuta mwenza wa maisha, nimefahamiana na binti mmoja wa Kilokole ambaye ni mtoto wa Mchungaji wa moja ya Makanisa ya Kipentekoste ambapo na mimi naabudu.
Kabla sijampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu, nakiri kuishi maisha yaliyotawaliwa na uzinzi na starehe za kila aina kama ulevi n.k.
Baadaye nikapata neema ya kuokoka. Nikajikuta nasali Kanisa 'X' ambamo ndio nimekutana na huyo binti wa miaka 23, mhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2022, mrembo sana, Mcha Mungu, mwanakikundi wa kikundi cha Maombi Kanisani na muimbaji hodari wa nyimbo za Injili. Kabila ni muha.
Nina miezi 9 hapa Kanisani lakini nina miezi 2 tangu nifahamiane nae. Nimejiridhisha pasina shaka kwamba binti ni bikira. Na msimamo wake ni kwamba hatafanya zinaa mpaka siku atakayoolewa.
Baada ya kupendekeza wazo langu kwake akaomba nimpe muda wa kunichunguza. Alipojiridhisha kuhusu mwenendo wangu akaridhia ombi langu kwa sharti la kutofanya nae zinaa mpaka siku ya ndoa!
Bado hatujamshirikisha baba yake ambaye ni Mchungaji kwasababu na mimi nilimuomba anipe muda nijitafakari kama kweli niko tayari kutomuingilia kimwili kabla ya ndoa. Ukizungumza na huyu binti utagundua kwamba bado ni mshamba sana, ameshatembea mikoa 2 tu, mkoa mmoja ukiwa ni wa Shule aliyomaliza kidato cha 4.
Kwa sasa ni mjasiriamali kwasababu hakufanya vizuri kidato cha nne, malengo yake ni kusoma masomo ya uuguzi na sifa anazo.
Leo baada ya kutoka church tukaenda mahali kupata chakula cha mchana, ameniuliza swali la ajabu sana, kwamba Lowasa ni nani? Nadhani amekutana na taarifa za kifo cha Lowasa mitandaoni. At first nilidhani anatania, baadaye nikagundua alikuwa serious kwamba hamjui Lowasa!
Sasa wakuu, mwanamke wa hivi, ambaye amemaliza kidato cha 4 na amepata daraja la 3 la mwisho, inawezekanaje akawa hamjui Hayati Lowasa?
Kwa mtazamo wenu, anaweza akawa mama bora wa familia? Kiukweli ana exposure ndogo sana lakini ni mtafutaji mno. Anajielewa. Ana misimamo. Na anamtumikia Mungu katika roho na kweli.
Hebu tupeane uzoefu ili nisije nikajichanganya wakuu...
Maombi ya kuzamiw ndo nn mkuu?Asante mkuu.
Bunti ni bikira kweli na ni muombaji sana, tena ni yale maombi ya kuzamia.
Nimependa hapo kwenye kumuuliza habari za mitume na manabii na sio maswala ya siasa [emoji28]
Safari ya elim inatofautiana mkuu.Mkuu kwanini shemeji alimaliza form four na 23 years huu umri ndio mimi nlikuwa namaliza chuo, hilo na lenyewe lakumuuliza we mwenyewe piga hesabu masta
Sawa mkuu nimekuelewaSafari ya elim inatofautiana mkuu.
Sio wote wameenda vzr bila matatizo
So huwezi jua alipitia nn
Bila kusimika mzizi? Kwa macho au?Mkuu, wewe sio baharia nini? Mbona rahisi sana [emoji2]
Basi sawa mkuu, tufanye yameisha [emoji28]Kwan lazima ajue kila kitu?
[emoji28][emoji28] dah!Maombi ya kuzamiw ndo nn mkuu?
We sema ni muombaji basi!