Mchumba wangu ameniuliza "Lowassa ndio nani?"

Huyo bumunda
 
Mapenzi na siasa wapi na wapi? Kama umeamua kuoa oa
 
Muoe lowasa naww unajisikia tu jingine huna eti unamuacha mtu kisa lowassa are you listern to yourself
 
Sorry kwa hili...
Kifupi na yeye ni akili/upeo mmoja, jidadavue binafsi kinaganga.
 
Asante mkuu.

Bunti ni bikira kweli na ni muombaji sana, tena ni yale maombi ya kuzamia.

Nimependa hapo kwenye kumuuliza habari za mitume na manabii na sio maswala ya siasa [emoji28]
Sorry hapo kwenye bold inaonyesha jinsi mpo pamoja kiupeo usimshangae waa kuuuliza humu enendana nae..
N.b roho na kweli ndio inakuwaje?
Je, kuna vice versa yake yani roho na uongo?
Cc Kiranga
 
Huyo akili ndogo sana, usijejikuta umeoa chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…