Mchumba wangu ameniuliza "Lowassa ndio nani?"

Sasa amjue Lowasa ili iweje anyway tangu mi na wewe tuwajue wanasiasa ni Nini kimebadilika zaidi ya kubishana kijiweni mda uende
Hongera umepata mke bikra Muha wa kigoma
 
Sasa amjue Lowasa ili iweje anyway tangu mi na wewe tuwajue wanasiasa ni Nini kimebadilika zaidi ya kubishana kijiweni mda uende
Hongera umepata mke bikra Muha wa kigoma
Nashukuru kwa ushauri mkuu.
 
😆😆😆
 
Kwanini amalize 4m4 akiwa na zaid ya miaka 20 bila kumjua Lowasa?
2015 akiwa amebarehe kabisa hata hakutaka kujua nani anagombea Uraisi?
Una uhakika ni Mtanzania? Siyo Mrundi?
Napata jibu ana Umbumbumbu flan hivi unaotokana na Mazingira na Malezi.

Sikushauri, huyo ukioa umemuolea Yesu.
 
Kaka, interests za wanadamu tunatofautiana sana wanawake wengi, tena mabinti wa sasa, current affairs ni zero. Mke ni vigezo vyako mwenyewe, vikifit anafaa, hasa utiifu na uwezo wa kumanage family. Mambo mengine ni wewe kumfungulia dunia na kumtoa tongotongo.
 
Sio lazima kujua kila kitu ila kuna vitu vya kujua. Watu tunamjua mkwawa na hatukuwepo kipindi hicho.

Kama ana miaka 23 saiv ina maana amezaliwa 2000. Imekuaje form four kumaliza na miaka 22. Sio chai hii?
 
Kwenye mpira sishangai sababu mtukama pele hayupo tz wengine wanajua team za mpira ni simba na yanga tu , issue ya public figures ni muhimu sana isitoshe miaka hiyo shule ya msingi maswali kuhusu viongozi huulizwa
 
Muache binti wa watu wewe Sio mtu sahihi kwake
 
Asante mkuu.

Bunti ni bikira kweli na ni muombaji sana, tena ni yale maombi ya kuzamia.

Nimependa hapo kwenye kumuuliza habari za mitume na manabii na sio maswala ya siasa [emoji28]
wasiwasi wangu hawa akina Donatila type walokole atakua anakupa mbususu kwa masharti muanze kwa kuomba.
 
Tuanzie hapo kwenye mchumba vp we ni mchumba wake au upo kimkakati usijekuwa unamlazimisha ajue mambo ambayo hayatomsaidia kwaajili ya mtu asiyekuwa na msaada wowote! Just a question [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…