Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

Vp kuhusu majiran hyo tube ikielekea nje s atawapa tabu
 
Dalili ya mvua ni mawingu"kula jicho hatakaa ajambe tena,ukimwendekeza kuna siku atakunyea...we mfire uone"
 
Mkuu Kwanza wewe umewaza ukiwa umelala ze way unavyojamba Sana ?

Maana unasema mwingine ila hujui yeye anakuvumilia kwa kiasi gani ukiwa umeuchapa na yeye akiwa macho mida hiyo hiyo ya usiku

Inawezekana yeye anashindwa kukwambia ila unaweza kuwa unajamba Sana na wewe

Anyway maisha ni kuvumiliana hivyo vumilia kwanza Hilo no chaguo lako
 
Mpw chai yenye mchaichai mwingi uliokolea sana.

Hilo tatizo litakua historia
 
Ana vidonda tumbo...
Anzeni matibabu.

#YNWA
 

Ushauri wa Bure, kama unaona huwezi vumilia kuishi milele na mtu wa hivyo, mwache mapema na utafute mwingine, Unachokutana nacho kwa mwanamke wakati wa uchumba, ukiona Kita double.
 
Niliwah kuwa na mtu wa hv alikuwa anajamba non stop usiku lakin yalikuwa hayanuki,nilianza kukihisia labda kiliwah kifukuliwa nyuma lakin kilikuwa kibinti kidogo sana

Ulitumia dawa gani mkuu?
 
Dili hilo mzee.
Tafuta namna ya kuwasiliana na wataalamu wa kuextract gas uone kama unaweza kuextract huo ushuzi uweke kwenye mitungi ya oryx, mkaa bei juu sahivi
 
Kwa Uzoefu wangu huyu shemeji yetu atakuwa na tatizo la minyoo, mnunulie dawa za minyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…