Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

Vp kuhusu majiran hyo tube ikielekea nje s atawapa tabu
One of the Properties of gas, it can expand easily, Volume of a room is too small as compared to outside space.

So when that shit gas goes to outside space, It can expand to neglected concentration, Hence no effect.
 
Upendo unapimwa na vtu vdgo mnoo, haya huo ndyo mwanzo. Bado hujaanza kuish nae rasmi kama mke, n meng utayagundua zaid ya hayo.

Upendo huvumilia (na kama changamoto ina utatuz basi tatueni kwa pamoja), upendo ahuhesabu mabaya, upendo haujivuni, upendo hautafut mambo yake, upendo upendo upendo.

Mpeleke hos, naiman kila kitu kitakaa sawa.
 
Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.

Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.

Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!

Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.

Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.

Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.

Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie

Nashukuru sana.
Ile kitu huwa muhusika hajui, huenda hata wewe ujajamba, ila ndio hivyo hakuna wa kukuanzishia uzi.
 
Asanteni wote kwa ushauri
Leo tumenunua dawa
Acha tusubiri matokeo
 
Kama vp azame tigo tu kiaina labda ataacha[emoji31]
 
Songo songo asilia 😂😂
Weka pipe kituoni kijana
 
Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.

Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.

Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!

Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.

Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.

Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.

Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie

Nashukuru sana.
Kwani huwezi leta Uzi kama huu bila kujitambulisha? Sasa huyo demu kama atapita humu au watu wa Kijiji chenu wakipita humu watamjua tuu na kukujua wewe pia.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mpeleke hospitali achwki madonda ya tumbo. Mara nyingi watu wenye peptic ulcer wanatoaga mishuzi non stop. Gas+++
 
Hamna umemla umegundua umebugi unamtafutia sababu ya kumuacha!!...haya shahidi yako nani?maana na yeye asubuhi anakataa!tupe ushahidi![emoji3]
 
Back
Top Bottom