Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
One of the Properties of gas, it can expand easily, Volume of a room is too small as compared to outside space.Vp kuhusu majiran hyo tube ikielekea nje s atawapa tabu
Mkuu we fala ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania kuna mambo mengi
Wakati watu wa dar wanalalamika panya road.
Huyu analalamika mkewe anajamba
Ile kitu huwa muhusika hajui, huenda hata wewe ujajamba, ila ndio hivyo hakuna wa kukuanzishia uzi.Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.
Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.
Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!
Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.
Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.
Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.
Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie
Nashukuru sana.
Si aende duka la dawa tu!Nenda kwa daktari amwandikie dozi ya tridinazole utakuja kueleza matokeo
kunguru huna maana[emoji3]Na mademu wa kinyaki walivyo na maumbo na mijitako
Concentration ndio kama inaongezeka
Pole sana kiongozi
Kwani huwezi leta Uzi kama huu bila kujitambulisha? Sasa huyo demu kama atapita humu au watu wa Kijiji chenu wakipita humu watamjua tuu na kukujua wewe pia.Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu.
Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi zinafanyika.
Mwezi wa nne mama mkwe wangu mtarajiwa akapata matatizo ya kiafya,aka andikiwa rufaa aje Muhimbili na mm ndiyo nikawa mwenyeji wao nikawapokea!
Kwa mara ya kwanza nikaanza kulala na mchumba wangu chumbani na ndiyo nikashuhudia mambo ya ajabu sana.Mchumba wangu anajamba ushuzi unao nuka sana non stop akiwa usingizini na yy huwa hajijui kama anajamba maana ukimuambia asubuhi huwa anakataa kabsa.
Nikajua labda shida ni vyakula vya vijijini alivyo zoea na akipata vyakula vya kuungwa vya mjini hali labda itapungua,lkn kinyume chake ndiyo kujamba kunaongezeka na yananuka zaidi.
Kuna jamaa yangu ni daktari alimpa dawa kwa kumdanganga ni dawa ya tumbo lkn haijasaidia.
Hali hii ya uchafuzi wa hali ya hewa chumbani inakatisha sana tamaa,tafadhali kama kuna ushauri wowote hasa kama kuna mtaalam unamjua ana weza tibu tatizo hili naomba uniandikie
Nashukuru sana.
[emoji1787] ni kweli wanyaki sio mchezokunguru huna maana[emoji3]
Nilidumu nae muda mfupi sana,baadae nilisafir ndo ikawa mwisho wa penzi letuUlitumia dawa gani mkuu?