Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Kuna baadhi ya wanawake hawafurahii sex kabisa. Usikalili kua kila mwanamke anahitaji hiyo kunyanduliwa sijui kuandaliwa ni kupoteza muda kwa wengine. Nshawai kua na mtu kama huyo anasema hapendi sex kumbe huwa anaumia akisex so hata ufanye hayo manjonjo yeye anawaza maumivu utayomletea, mwisho anakupa kupunguza kelele tu.

Huyu jamaa akae aongee na huyo mchumba wake, labda ni mgonjwa au huenda hana hisia nae kabisa. Ama lah anaolewa labda kukwepa aibu tu ila hampendi jamaa, ama lah manzi ni msagaji yote yanawezekana. Utahangaika weee kumbe manzi anapenda manzi wenzie.
Afu pia wengine hua na low libido yani na hua iko pote kwa wanawake na wanaume sometimes sasa jamaa angepata wanaendana pia kuna vyakula akimpa vitamsaidia kuongeza libido.
 
Ipo hiviii... Nilijuana nae mwaka jana alikua akiishi mbezi Afrikana nikamshawishi , na yeye bila hiyana akanikubalia safi bila tatzo. Mimi ni muajiriwa kampuni fulani mjini mara nyingi saa 10 or 11 alfajiri huwa naenda kazini sasa ikawa anakuja mtaani naweza kumnyandua mara moja and alfajiri simnyandui wala nn coZ nahofia kumwamsha usngizini maybe atamaind.

Kama akija nilikua nanyandua mara moja bas nalala asubuh yeye akiamka anaenda mishemishe zake na mimi mishemishe zangu. Mwez wa 12
Mzee apo funguka akili ,tafuta zako michepuko 2 uwe unajipigiaa tu huko nje
 
Afu pia wengine hua na low libido yani na hua iko pote kwa wanawake na wanaume sometimes sasa jamaa angepata wanaendana pia kuna vyakula akimpa vitamsaidia kuongeza libido.
Kabisa mkuu, kuna mmoja alisema ye akiwa na mpenzi anapenda tour tu za hapa na pale sio sex kabisa.
So ukikaliki kua kila kitu ni hisia tu unaweza kufeli.
 
Kuna mambo mawili au matatu yanaweza kumfanya mwanamke asitake kufanya mapenzi ya aina yoyote ile na mwanaume wake.

Moja ikiwa mwanamke hana hisia na wewe kabisa, anaweza kukupenda kama kaka au rafiki ila ile intimacy isiwepo.

Pili, anaweza kuwa yuko kwenye shida ya kisaikolojia, labda kuna kitu alipitia au anapitia na hajaweza kucommunicate na wewe. Ikiwa ana jambo linamtatiza itakuwa ngumu sana yeye kuenjoy mapenzi, zaidi sana yatamkera hivyo anavyofanya anaavoid kukereka.

Tatu, anaweza kuwa ana homone imbalance inayompelekea kukosa hamu ya kufanyana.

Kazi kwako kaka, ongea nae, muombe afunguke na mchunguzi pia. Sijataka kusema jichunguze nawe labda hujui mambo sababu na fahamu sisi wanawake tukimpenda mtu tunaridhika na hicho hicho kitu kidogo anachofanya (though nisisemee wengine), ila kama unahisi unamapungufu rekebisha, mfano skills zako na hygine.

Nimemzungumzia yeye zaidi sababu sisi wanawake tukiwa at our best huwa tunapenda mapenzi kuliko mnavyoweza kufikiri, Yaani mtu pochi imejaa, huna changamoto kazini/biashara na huna changamoto kifamilia. Mambo huwa yanawaka mpaka unamuonea huruma mumeo sometimes ametoka job kachoka huku wewe pia unamsubiri kufanywa.
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibao ikiwa tiari nimemtolea mahari.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntalazimisha sana, ntakuja kupewa mchana na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata saa zima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingizi hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Natanguliza shukrani.

Mwanangu hapo kimeumana huyo manz ni km anakufanyia kusud em jaribu kufatilia nyendo zake kwa umakin kwamaan kwa picha ya haraka haraka naona hapo kuna kizuiz ambacho kinafanya mpk akupangie mda wa kukupa mbunye alaf simamia msimamo wako km mwanaume ulikurupuka kupeleka mahar mzee sas je ukimuoa kwa ndoa itakuaj kwamaan mda huu ndio angetakiw akufanyie manjonjo ya kukushawish ili umuoe haraka
 
Kama anapenda tour tuu basi inabidi akuunganishie na rafik yake mmoja ili kichupa kikijaa unaenda kumwaga kwa rafiki yake
Unajiongeza tu mkuu sio lazma uunganishwe, nae anajua siwezi kukaa kumsubiri mpaka awe na hamu wakati nna kichupa mkuu.
 
Ipo hiviii... Nilijuana nae mwaka jana alikua akiishi mbezi Afrikana nikamshawishi , na yeye bila hiyana akanikubalia safi bila tatzo. Mimi ni muajiriwa kampuni fulani mjini mara nyingi saa 10 or 11 alfajiri huwa naenda kazini sasa ikawa anakuja mtaani naweza kumnyandua mara moja and alfajiri simnyandui wala nn coZ nahofia kumwamsha usngizini maybe atamaind.
Ukipewa humkuni(kumnyandua) vizuri.
Pia hujui lugha ya mapenzi inaonekana ukitaka unakua Kama unadai chanchi kwa konda.
Mapenzi ni sayansi na sanaa
 
Yani ni swala la kugusa tu, sijui anafeli wapi .. [emoji23][emoji23]
Anakwama sana kipande cha sabuni(Mbunju) 200,maji ya 500 nusu lita nadhani yanatosha kutengeneza povu la kutosha.Na sehemu tulivu ya kuchaputika kwa mahitaji hayo tu anapata uhondo
 
Anakwama sana kipande cha sabuni(Mbunju) 200,maji ya 500 nusu lita nadhani yanatosha kutengeneza povu la kutosha.Na sehemu tulivu ya kuchaputika kwa mahitaji hayo tu anapata uhondo
Ulokole umemjaa sana, acha aendelee kulialia ..
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibao ikiwa tiari nimemtolea mahari.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntalazimisha sana, ntakuja kupewa mchana na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata saa zima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingizi hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Natanguliza shukrani.
Duh kumbe yanawakuta wengi
 
Huyo binti kama sio mchaga....!!
nimewaza kama wewe,wale hawanaga nyege vichwa vyao wanawaza mahesabu ya pesa tu.
"Nikichukua laki 5 kwa huyu bwege nikaongezea laki 3 ya vicoba nikaongezea na ile ninayomdai masawe,nikaongezea na ile ya danga langu lingine nitanunua kuku nipeleke sadala kwa mosha nikiuza sijapata kiwanja kweli" in mangi's voice.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom