Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Nenda hospitali mkuu
 
Mkuu hii Comment yako lazima imebeba moja ya sababu ya huyo demu kubana mbunye ..... Ukikutana na demu msagaji Yan Huwa hawa enjoy sex kabisa ...au demu ambaye hana hisia na ww lazima utaona vyenye ana respond ..
.
.kuhusu demu kuumia wakati ana sex mostly husababishwa na Mambo mawili

1) Hana hisia na ww
2) Msagaji
 
3) Magonjwa , kuna wanawake wana hayo magonjwa ya njia ya uzazi ambapo anaweza kusisimka kweli lakini ukiingiza anapata maumivu makali. So mtu kama huyo mwisho wa siku anakata tamaa na anaamini hamna raha ya kusex. Ukijichanganya ukawa nae basi ndio inakua kama ya mleta mada.
 
Kwa kifupi kuww bize na kazi sana rud nyumban mida ya saa3 usiku oga lala kesho asbh amka uende kazn fanya hvyoo kwa muda wa mwez mzima
Asipo badirika ..... Baas piga chini hyoo mahali kama ulitoa sadaka tafuta mwanamke anae jua thaman ya ndoa
 
Mpe Cheo Mkuu.
 
Tafuta ela utapewa hadi tigo
 
Tafuta hela kenge wee utapewa hadi jicho
 
Huyo ni mchumba sio mkeo

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Zaburi ya 23🤔🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…