Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku niliwahi kusema humu kwamba hakuna mwanamke wa kuendana na kasi ya kutaka ngono tuliyonayo wanaume.Ipo hiviii... Nilijuana nae mwaka jana alikua akiishi mbezi Afrikana nikamshawishi , na yeye bila hiyana akanikubalia safi bila tatzo. Mimi ni muajiriwa kampuni fulani mjini mara nyingi saa 10 or 11 alfajiri huwa naenda kazini sasa ikawa anakuja mtaani naweza kumnyandua mara moja and alfajiri simnyandui wala nn coZ nahofia kumwamsha usngizini maybe atamaind. Kama akija nilikua nanyandua mara moja bas nalala asubuh yeye akiamka anaenda mishemishe zake na mimi mishemishe zangu. Mwez wa 12 tukaelewana nipeleke barua kwao bila hiyana alikubali, nikapeleka bila tatzo. Majibu yalirud safi alhamdulillah nikakubaliwa na mahari ikapangwa kama 1.2M. mwez wa 5 nilipeleka mahari kwao kama 700k nyingine deni ad leo na nikamuomba tuish kidogo kama maswala ya ndoa tukijipanga tutakamilisha. Sasa kwenye swala la kunyanduana nilizani maybe kwa sababu sjatoa mahari datz why ananifanyia hivyo kumbe na nikitoa atabadilika, kuumbe ni tofaut na matarajio yangu. Naweza kuwa nna ugum kinomaaaa nikiomba game mara niambiwe tumbo linaniuma, au subiri baadae na nikiambiwa baadae ni baadae kweli i mean hata kukumbushia halumbushii, mda mwingine ntaambiwa subiri chakula kishuke ndo tutaduu hapo utasubir kama lisaa lizima na mwenzio wala hana habar na kama ni usiku kama ni usingizi utakuchukua bila kuduu. Kingine asubuh na kijiubaridi cha Darisalam Hasani kichwa lazma asmame nikimshirikisha mwenzangu hatak in short skumbuki lini nilipewa asubuh na huyu duu. Ushauri hapo nifanye vipi napata tabu kinomaaaa.... unga huu uzi mkuu msaada
Ningekushauri kama angekuwa mke wa ndoa kwa kuwa mchumba muoe kwanzaUngejua dada. Naingia kazini saa 10 or 11 alfajiri narud saa 10 or 11 jioni so kazi naipenda coz mimi ndo nilichagua kozi niliyosoma.
Inakujaje automatically hebu tudadavulie mkuu Hornymmh hivi huwa mnaombaje mechi?
najua huja automatically
Kazi tu naifanya sanaaNilitaka nimulize hili swali huenda ndo maana ananyimwa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nishasusa sana hata wiki moja na siku ishafika lakini mwanamke walaaaa hana habar ad mie nazidiwa naomba japokua tena napigwa kalendaMimi ninavyojua kile kitendo kinakujaga automatically sio mpaka uombe...
Wee jifanye km kuisusa uone km atatoboa siku mbili bila kuomba mgegedo