Ana umri wa miaka mingapi?
Wanawake wengi ambao hawajakwaruzwa Sana ukomavu wao kwenye via vya uzazi huwa bado .
Kwa hiyo nenda naye taratibu baadaye atazoea mwanamke hupanda ngazi taratibu siyo kama mwanaume, na akipanda atakaa peek muda mrefu wakati wewe ushaanza kushuka jumlisha navyakula vya kisasa ndo basi
Akishafikia ukomavu utakuwa unaomba poo yeye yupo na wewetu ndiyo hapo ataanza kudhani unatoka nje , Kwa kujiuliza maswali mbona kipindi kile alikuwa vzr mbona sasa hivi kama mzee wa kimoja chali ......
Na ukizubaa anatafuta njemba nje