Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Akili zako kama za huyo binti kwenye mada, maana unatumia nguvu nyingi kutetea upuuzi. What if Jamaa anamshirikisha kila kitu na huyo binti anaona kazi inayofanyika hapo utasemaje?.
 
Akili zako kama za huyo binti kwenye mada, maana unatumia nguvu nyingi kutetea upuuzi. What if Jamaa anamshirikisha kila kitu na huyo binti anaona kazi inayofanyika hapo utasemaje?.
"What if" what???
Jamaa akimshirikisha haiondoi kuwa hajamuoa kwahiyo anaweza kuachwa anytime hivyo vishirikisho vitakua vimemsaidia nini?? Hatusemi kuwa jamaa aspend juu yake, bali hio so-called "kushirikishwa" ina msaada gani juu ya huyo dada? Hio kazi inayofanyika hati imeandikwa jina la jamaa au dada?? 😂😂

Muwe mnawaza nje ya Box
 
Ataachwa kwa vile jamaa anaona hana akili, mwanamke akikosa akili hata familia hataweza kuitunza. Huwezi jua it's a way kufahamu aina ya mwanamke anayetaka kuishi nae. Kupata kijana miaka 30 anajitahidi kujiendeleza kiuchumi ni jambo jema, vijana wengi saivi ni mba mba mba hamna kitu kabisa..
 
Hakuna sababu hapo ataachwa kama bwana akitaka..
Kipimo cha akili ni nini??? Maana nusu ya wanaoolewa huwa hawana hizo sifa mnazozisemaga tena ni watu hovyo kabisa... watu wanaolewa Mungu akipenda sio kisa kuvumilia kutumika kiakili! Kama anamtaka amuoe afu waendelee kufanya maendeleo ili dada awe na haki zake
 
Kweli mze wangu.
 
Wanawake kweli hamna shukrani ,wewe una mshahara lakini bado unataka mshahara wa mwanaume ununue vitu vyako binafsi tena vya luxury wakati mwenzio mshahara wake unafanya vitu vya maendeleo vya kwenu wote kama familia.
Kuwa nashkrani dada acha ulimbukeni!
 
Kati ya wanawake wajinga duniani ww ni mama yao mwisho wa kunukuu
 
Hahahaha mbona umeniquote hapo na kuniita mama!??
Elewa concept, ww ni mjinga sana, na huyo mwanaume wako anajitambua vzr. Ww huyo sio type Yako maana utampotezea muda tu yy anawaza maendeleo ww unawaza starehe na mambo ya hovyo unaobekana ni mbinafsi mno ba haupo tayari kumpa ushirikiano unajiangalia ww tu
 
Nadhani wewe hauelewi unachokifanya!?? Mm sio mtoa maada Mimi ni mchangiaji kama ww
 
Duh! Huyo rafiki yako Ni miyeyusho Sana, Kuna watu ukiishi nao kufanikiwa unaweza kusikia tu kwa watu,mfano mzuri Ni rafiki Yake na mtoa mada.
 
Huyo ni mtu sahihi kwako.anajiandaa kuwa baba was familia.anakupenda ndo Mana anakushirikisha Kila kitu.Mshukuru Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…