Mchumba wangu kaenda chuo cha polisi

Mchumba wangu kaenda chuo cha polisi

MWANDENDEULE

Mimi siamini kama huyo ni mpenzi wako sawa sawa kwa sababu huwezi kuwa na mpenzi halafu kusiwe na plan za kutosha hasa za masomo then yeye atoke tu na kukutext nimepata chuo uku nasoma mara alikuaga anaenda kwa shangazi.

Inawezekana hapo chuo kwa sasa hajakuwa na bwana lakini suali je hana mtu around apo Moshi? Nikuambie kitu ikiwa dem anakupenda sana kusoma sio shida lakini ata na yeye angalau ulitakiwa umuone ana maskitiko gani ww kuwa mbali na yeye pia?

Kwa ufupi huyo mwanamke anakupenda mukiwa pamoja tu ana maarifa yake kichwani na kama uamini subiri aendelee huko uone. wanawake disegn hizo wapo sana.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kazi hamegwi depo atakuja kumegwa kazini tegemea zamu za night za kumwaga especilly kukiwa na Afande kutoka makao makuu anahitaji blanket ha ha just joking
 
Nisaidie kwa uzoefu wako mkuu please

Tegemea changes kubwa sana ukionana nae tena baada ya kurudi depo..kama unampenda kweli utamvumilia kwa mabadiliko hayo..kwa ushauri usimuweke moyoni kwa 100%..relax mchukulie poa tu..depo kuna mambo mengi sana ambayo.mwanamke yoyote hawezi kuyavumilia ndugu.trust me yani jua huyo mwanamkr sio yule tena ni mtu tofauti kabisaaaaaa..UTAKUJA NIAMBIA
 
Tegemea changes kubwa sana ukionana nae tena baada ya kurudi depo..kama unampenda kweli utamvumilia kwa mabadiliko hayo..kwa ushauri usimuweke moyoni kwa 100%..relax mchukulie poa tu..depo kuna mambo mengi sana ambayo.mwanamke yoyote hawezi kuyavumilia ndugu.trust me yani jua huyo mwanamkr sio yule tena ni mtu tofauti kabisaaaaaa..UTAKUJA NIAMBIA

nakuunga mkono man cha msing atafute mwingne wa kuzugia na wala asimshobokee huyo afande mpaka demu atapoamua mwenyewe kumtafuta askar wa kike wanamatatzo xana kama kakupenda atakuheshm kama katimiza wajib wa kuolewa atakusumbua vingnevyo atakudharau
 
Mkuu unalichukuliaje suala la kuondoka bila kukupa taarifa wakati anajua ulikuwa kwenye mchakato wa kumtafutia chuo?
Tayari huo ni usaliti na ningekuwa mimi hiyo ingekuwa sababu tosha ya kuachana nae.
 
kuoa askar yataka moyo lazima uwe mjanja kumiliki kaenda kufundishwa ujasir neno msen*g kwake yeye litakuwa kawaida kutamka na mengne meng na usitegemee kumuendesha utakavyo
 
Na huko depo wanatafunwa na makoplo vibaya mno! Ni ukweli unaouma. Pole sana mkuu
 
....kung'atwa n lazima Mkuu kuanzia makuruta wenzake hasa depo likiwa linaelekea Mwisho maana cku wakiruhusiwaga kutembea moshi twn guest zote hasa za Soweto na mbuyun zinajaa...hao wakufunz ndo wanachukuaga km wameoa vile na hawachomoi
 
Kijana usiwe na hofu yupo salaam na atarudi salama yupo sehemu salama kabsa akimaliza anaruhusiwa kuolewa na raia vumilia Kijana unaweza kumpeleka chuo asiwe salama hapo alipo pia shukuru amepata nafsi wkt watu wanazililia sanaaa
 
MWANDENDEULE;

Mbona umejiletea taab mwenyewe?? Unauliza swali hili huku watu si watakutia kichaa?? Usiogope mchumbako ni mchumba tu, hatabadilika. Uzuri wa ile kitu hainaga alama. Hata alipokuwa na weye, sidhani kama weye ulimkuta bikra. Je, aliwahi kukuambia weye ni wa ngapi kwake kuanzia aliyemtoa usichana wake??

Kama unampenda kweli, acha wivu. Elewa kwamba pale ccp ni marufuku kuruti kuwa na simu. Aheri akutwe na msokoto kuliko simu. Sasa kama mna chart naye, huoni maajab hayo?? Huenda boss yupo zam yeye analinda mbu wasiingie kwenye neti. Wala si utani, kuruti haruhusiwi kuvaa pichu. Usimuwazie, mwache akimaliza arudi akitaka kuendelea utafurahia tuuu wala usiulize wangapi walifuata baada ya weye mara ya mwisho.Pole na mawivu yako yasije kukuua
 
Ahsante kwa kunijuza.
Vipi lakini uwezekano wa mtu kuacha kazi hiari baada ya mda fulani inaruhusiwa? na kama wanafanya kazi kwa mkataba, mtu anaweza toa ombi la kuacha kazi baada ya muda gani?
Pole mkuu akirudi tu mwili ikikaa sawa labda baada ya mwaka mmoja tia mimba( km kweli una NIA ya kumuoa, atafukuzwa over na taratibu zote za mafao unachukua. Umenisoma?
 
MWANDENDEULE;
Mbona umejiletea taab mwenyewe?? Unauliza swali hili huku watu si watakutia kichaa?? Usiogope mchumbako ni mchumba tu, hatabadilika. Uzuri wa ile kitu hainaga alama. Hata alipokuwa na weye, sidhani kama weye ulimkuta bikra. Je, aliwahi kukuambia weye ni wa ngapi kwake kuanzia aliyemtoa usichana wake??
Kama unampenda kweli, acha wivu. Elewa kwamba pale ccp ni marufuku kuruti kuwa na simu. Aheri akutwe na msokoto kuliko simu. Sasa kama mna chart naye, huoni maajab hayo?? Huenda boss yupo zam yeye analinda mbu wasiingie kwenye neti. Wala si utani, kuruti haruhusiwi kuvaa pichu. Usimuwazie, mwache akimaliza arudi akitaka kuendelea utafurahia tuuu wala usiulize wangapi walifuata baada ya weye mara ya mwisho.Pole na mawivu yako yasije kukuua
madogo kibao huwa wanasimu kule usimtishe mwenzio...
 
kazi kwanza mengine baadae. usalama upo maana si wa kwanza kwenda chuo cha polisi, wameenda wengi na kila kozi lzm awe na askar wa kike kukidhi haja ya kijinsia serikalini.

Jeshini atakuwa huru kuzaa baada ya kutumikia miaka mitatu lkn pia majeshi yana utaratibu wa mwoaji kuomba kibali cha mkuu wa jeshi husika. na kwa la wananchi wao ni kambini hadi miaka 6, ndipo taratibu nyingine hufuata.

hivyo usiwe na shaka, kitumbua chako kiko salama.
 
Back
Top Bottom