Mchumba

Mchumba

Mchumba,wajamani nina tatizo ambalo ni siriaz naomba msipuuzie,nina mchumba nimempenda na si ishi nae mwaka ss umeisha,kuna shida moja nampenda sn na yeye ananipenda shida ni kwamba mi niko chuo kikuu yeye ameishia form 4,alifel nimemwambia arisit pepa hataki nami nataka awe na ht credit ili asomee ht ualimu hataki,nataka nimuache,manake nikifikiria maisha nadata kwani nimagumu sn kwa wawili km hamtajituma kwenye kazi na kuzalisha,nifanyeje wakuu ushauri wenu ni wamuhimu

inawezekana anaona akirudia mitihani hatafanya vizuri
Kuliko uoe baadaye uje kumnyanyasa hajasoma bora
umwache kama ulivyosema hapo juu.

 
inawezekana anaona akirudia mitihani hatafanya vizuri
Kuliko uoe baadaye uje kumnyanyasa hajasoma bora
umwache kama ulivyosema hapo juu.

Asimwache bwana, kuwa na elimu sio ndio kila kitu katika dunia hii
 
Mchumba,wajamani nina tatizo ambalo ni siriaz naomba msipuuzie,nina mchumba nimempenda na si ishi nae mwaka ss umeisha,kuna shida moja nampenda sn na yeye ananipenda shida ni kwamba mi niko chuo kikuu yeye ameishia form 4,alifel nimemwambia arisit pepa hataki nami nataka awe na ht credit ili asomee ht ualimu hataki,nataka nimuache,manake nikifikiria maisha nadata kwani nimagumu sn kwa wawili km hamtajituma kwenye kazi na kuzalisha,nifanyeje wakuu ushauri wenu ni wamuhimu

Naomba unisidie kujibu maswali haya; Ulipomuona huyo mchumba wako for the first time je ulimuona yy as a person au elimu yake? Je unataka kuoa mtu au hali yake ya maisha.

I have a hunch kuwa umepata mchumba sahihi lakini for some reasons unashindwa kufunuliwa kuwa huyo ndio mchumba sahihi au siyo sahihi.

Ushauri; Kama unatafuta mchumba kwa kutumia vigezo ambavyo ni physical zaidi na si emotional you better forget about the whole exercise. Kama ni hivyo basi utakuwa unatafuta (napenda kuamini unknowingly) mwanaume tu wa kuwa naye na si mume. Pia nakushauri kuachana na swala la READY MADE husband. Si busara kutarajia kupata MUME ambaye yuko tayari in all wise yaani elimu, kazi nzuri maisha mazuri mwenye address mjini etc etc.

Dada kwa kifupi unaweza kupata mume na ktk maisha yenu ya ndoa mkajipanga kimaendeleo even so itategemea na si guarantee kuwa mambo yenu yatakuwa mazuri sana. That saidi si busara kumuacha mchumba wa kweli sababu ya kiwango cha elimu yake. Kwa hili na-kuchallange ujifunze toka kwa wadada wenzako waliotangulia ktk maisha ya ndoa. Pia nakupongeza kwa kutafuta ushauri
 
Nashukurumi kwa ushauri, lkn kiukweli maisha ni magumu sn mwanamke kua golikipa sio ishu,anatamani kusomea mambo ya hotelia certificate level only,nafikiri sn jamani nieleweni elimu sio sababu lkn je kwamaisha haya tutatoka?mi namwona km ni mvivu

Inaonekana una iman ndogo sana kwa Mungu wako,mwanamke ni pambo la nyumbani jukumu la kufanya kazi ni la mwanaume
 
Naomba unisidie kujibu maswali haya; Ulipomuona huyo mchumba wako for the first time je ulimuona yy as a person au elimu yake? Je unataka kuoa mtu au hali yake ya maisha.

I have a hunch kuwa umepata mchumba sahihi lakini for some reasons unashindwa kufunuliwa kuwa huyo ndio mchumba sahihi au siyo sahihi.

Ushauri; Kama unatafuta mchumba kwa kutumia vigezo ambavyo ni physical zaidi na si emotional you better forget about the whole exercise. Kama ni hivyo basi utakuwa unatafuta (napenda kuamini unknowingly) mwanaume tu wa kuwa naye na si mume. Pia nakushauri kuachana na swala la READY MADE husband. Si busara kutarajia kupata MUME ambaye yuko tayari in all wise yaani elimu, kazi nzuri maisha mazuri mwenye address mjini etc etc.

Dada kwa kifupi unaweza kupata mume na ktk maisha yenu ya ndoa mkajipanga kimaendeleo even so itategemea na si guarantee kuwa mambo yenu yatakuwa mazuri sana. That saidi si busara kumuacha mchumba wa kweli sababu ya kiwango cha elimu yake. Kwa hili na-kuchallange ujifunze toka kwa wadada wenzako waliotangulia ktk maisha ya ndoa. Pia nakupongeza kwa kutafuta ushauri
Umemjibu fresh sina la kuongeza afatilie haya, eti shule nani kakwambia shule ndio kila kitu? mwache anaweza kuja fanya maajabu kwenye nyanja ya ujasiriamali
 
Mchumba,wajamani......nimemwambia arisit pepa hataki nami nataka awe na ht credit ili asomee ht ualimu hataki,nataka nimuache,manake nikifikiria maisha nadata kwani nimagumu sn kwa wawili km hamtajituma kwenye kazi na kuzalisha,nifanyeje wakuu ushauri wenu ni wamuhimu

Moko nalazimika kukupa ushauri zaidi kuhusiana altitude yako ktk maisha yenu ya uchumba. Ni kwamba siku zote lazima kuwe na consutations ktk kila jambo na siyo ww kuja na package kama unavyoindicate hapo juu ya kuwa unataka a-risit na si kuwa mnataka arisit.

Nachotaka ujifunze hapa ni kwamba unilateral decisions ktk maisha ya uchumba/ndoa ni kitu kibaya sana for a long term relationship. Hii imejidhihirisha ktk post yako ambapo unafikiria kuachana naye na si kumshirikisha ili kufikia muafaka wa njia gani nzuri ya ninyi kujiendeleza kifamilia chances ni kwamba si lazima yeye akipiga shule zaidi mtakuwa na maisha mazuri.

Vilevile nimejiwa na hisia nyingine kuwa issue hapa si elimu ya husband wako to be bali issue ni image yako ww kwa watu wengine. Kama ni hivyo nakusauri tena kuwa bado hajawa tayari kwa maisha ya ndoa. Kwanini nasema hiyo? Kwa sababu maisha ya ndoa is about the two of you and not other people. Thus, if by any chance unafikiria kuwa ur hub to be ana elimu ndogo na wadau watakufikiriaje basi sahau the whole exercise of courtship.
 
Back
Top Bottom