Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma, David Mwakapala akiwa Bungeni Dodoma amesema watu wengi wanaogopa idadi ya tarakimu likisemwa deni la Taifa au Serikali ikiingia mkopo.
Mwakapala amesema deni baya ni ile inayoingia kwenye 'Productive activies' lakini inayokopwa inaingia kwenye miradi ambayo baadae inazalisha kama SGR.
Mwakapala amesema deni la Taifa linaloongezeka halipotei bali litaendelea kuzalisha na kusifia mradi wa SGR kwamba utapeleka Tanzania kuwa na uchumi wa kati ulioimarika na duniani nchi zilifanikiwa kwasababu ya kuwa na reli imara.
Pia, soma=> Waziri Mwigulu Nchemba: Deni la Taifa lafikia Tsh Trilion 69.44
Mwakapala amesema deni baya ni ile inayoingia kwenye 'Productive activies' lakini inayokopwa inaingia kwenye miradi ambayo baadae inazalisha kama SGR.
Mwakapala amesema deni la Taifa linaloongezeka halipotei bali litaendelea kuzalisha na kusifia mradi wa SGR kwamba utapeleka Tanzania kuwa na uchumi wa kati ulioimarika na duniani nchi zilifanikiwa kwasababu ya kuwa na reli imara.
Pia, soma=> Waziri Mwigulu Nchemba: Deni la Taifa lafikia Tsh Trilion 69.44