Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

Weka mbali hoja yako ya uchache na anonymity, Atheist hana sababu ya kufanya uharibifu wa nyumba za ibada

Ishu ya majina nowdays sio hoja ya ku-describe imani ya mtu (religion perspective)

Ukiwa mbeya wakina abdalla ni wengi, kina mwamedi, kina khadija, zuberi, asha, saidi ni wengi lakini utashangaa ukiambiwa hao wote sio waislamu na watakushangaa kwanini uwahusishe na uislamu
 
Nenda mahakamani kama una ushahidi, pia kwanini hamtaki kujitoa kwenye muungano?

Mahakama ya mvamizi hahaha! Hatutaki kujitoa au hamtaki kuondoka. Si muondoe majeshi yenu yaliyojaa kila mtaa.
Kwa nini mnakuja kutuuwa kila uchaguzi huku mkiweka vibaraka wenu?
 
Mahakama ya mvamizi hahaha! Hatutaki kujitoa au hamtaki kuondoka. Si muondoe majeshi yenu yaliyojaa kila mtaa.
Kwa nini mnakuja kutuuwa kila uchaguzi huku mkiweka vibaraka wenu?
Mchukueni na bibi yenu hatumtaki
 

Hivi hujasoma hata historia wakomunist wamefanywa nini Soviet Union Na wanafanya nini China?
 
Kwani ni uongo?
 
Mali gani mnayotupa Bure ? Labda kuja kutuuwa , kututia vilema Na kutuvutugia nchi Na kuweka vibaraka wenu kila ufikapo uchaguzi
Kaa ulee mimba..zenji ni koloni la Tanganyika maisha..

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndio nakwambia kwamba huwezi kumjua huyo atheist, wewe ukiamua kuvunja msikiti nani atajua kuwa ni atheist?
 
H
Hivi kuna makanisa mengine zaidi ya yale ya Mji Mkongwe la waanglikana na la wakatoliki?

Amandla...
 
Mungu awalaani hayo mavaa kobazi itafkia pahala Tanzania itapasuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…