Sasa wazawa si lazima wapate wa kuwapelekea hiyo imani? Tuache watu wasikie neno ili wachague pa kuamini. Leo hii waislam wengi wanajazana huko kwa wanaojiita manabii kuokoka na kupata uponyajilicha ya kuwa Europe kuna nchi ambazo zinakua na haki nyingi za kibinaadamu mpaka nyengine za aibu lakini bado hawapo huru kama wanavyokua katika maeneo yao, na zaidi ni kuwa Uislamu Europe unashamiri kutokana na Wazawa wengi kuingia katika waislamu, na sio kwa kutegemea wageni.
Kuna watu wengine ni wakorofi tu of all places kwanini ujenge kanisa Zazibar? ambao hamna wateje? 99% ni dini moja ya kiislamu? Ni yale yale ya kuweka bucha ya kitimoto karibu na mskiti wakati kuna sehemu zingine kwa kisingizio xha uhuru wa mtu kufanya biashara popote.Siku chache tangu kuripotiwa kwa taarifa za kuvunjwa kwa Kanisa la T.A.G lililopo Sebleni, Unguja ripoti kamili ya kilichotokea imetolewa kutoka upande wa kanisa pamoja na upande wa Serikali ya Zanzibar.
Mchungaji wa kanisa hilo linaloelezwa kuwa limevunjwa, David Victor Suna amefunguka kilichotokea kwa kusema:
MCHUNGAJI AFUNGUKA
“Ni kweli wamevunja nyumba yetu ya ibada licha ya kutambua kuwa tuna uhalali wa kila kitu, na suala hilo kwa sasa lipo kwa wanasheria wetu wanalishughulikia.
“Eneo hilo nilinunua kihalali kabisa kwa Sh milioni 16 na wakati nanunua nilikuta kuna banda ambalo lilikuwa shemu ya mauzo ya kiwanja, nilichofanya nikaboresha kwa kujenga ukuta.
“Lakini baada ya kuanza kuwa tunasali, nikapata malalamiko kuwa wakazi wa hapo hawataki kanisa, wakawa wanakuja viongozi kadhaa wa Serikali kukagua wakiniambia malalamiko ya uwepo wa kanisa letu mahali hapo.
“Kwanza waliniambia nimejenga ukuta kimakosa, kwa kuwa sina kibali cha kujenga ukuta, nikawaambia sawa hilo nakiri kwa kuwa sikuwa najua kama ukta unahitaji kibali, nikawaambia nitafuata mchakato wa kupata kibali kwa mamlaka husika.
“Baada ya mvutano wa muda mrefu nilienda hadi kwa Mkuu wa Wilaya akaniambia kama kama ninataka kibali cha nyumba ya makazi ya kawaida nitapata lakini kama ni kuhusu kanisa hapo siyo sehemu sahihi na hawatanipa kibali kwa kuwa wakazi wa eneo hilo hawataki kanisa.
“Siku hiyo ndiyo nikashangaa wamekuja wakavunja kwa kutumia mgongo wa Manispaa. Viongozi wetu wakuu akiwemo Askofu Mkuu amesema niwe kimya, nisifanye chochote kwa sasa, wao ndiyo watakaotoa tamko kwa kuwa suala letu limefika ngazi ya kitafa.
“Mimi ni mkazi wa Unguja miaka mingi, najua wanachofanya ni kitu ambacho wanakifanya muda mrefu, kuna upande ambao unakuwa una nguvu kubwa kiimani kuliko mwingine.
“Mimi kwa sasa nipo kimya, hata kule walipofunja siendi kwa kuwa sitaki matatizo, sijafanyiwa fujo zaidi ya siku ile ambayo walivunja, lakini mpaka sasa (Machi 11, 2022) sijapata tatizo lolote.”
TAMKO LA SERIKALI, LAMSAKA MCHUNGAJI
Mkuu wa Wilaya wa Mjini Magharibi kisiwani Unguja, Rashid Msaraka amezungumza na waandishi wa habari leo Machi 11, 2022 baada ya kufika eneo la tukio.
“Mamlaka zinazohusiana na utabiri wa hali ya hewa, zimetoa tathmini yao kuhusu mvua zinazotarajiwa kunyesha hivi karibuni, nikatoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Manispaa kuwa na tahadhari ya maeneo hatarishi, moja kati ya maeneo hayo ni hiyo iliyobomolewa.
“Nyumba mojawapo iliyobomolewa ni nyumba ya kawaida lakini taarifa inayosambaa ni kanisa, hapana mimi sina kibali cha kujengwa kwa kanisa.
“Hivyo, imevunjwa kwa kuwa ni sehemu ya nyumba zilizokuwa hatarishi, tunaweka mazingira sawa, siyo hapa tu bali ni maeneo yote.
“Yote yanayoendelea mitandaoni kuwa kuna maandalizi ya vita ya Waislamu dhidi ya Wakristo siyo kweli.
“Katika taarifa zinazosambaa kuna mtu anaitwa David Suna, sijui kama ni kiongozi wa kawaida au kiongozi wa dini, hatumfahamu, nimempa maelekezo Kamanda OCD kumtafuta huyo Daudi Suna ili kutoa maelezo ya kinachoendelea mitandaoni.
“Sisi tumemwambia ODC hiyo clip inayosambaza ni mbaya na ni ya uchochezi.
“Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kila mtu ana haki ya kuambudu lakini lazima kuwe na utaratibu.
“Nasisitiza kuwa hapakuwa na kanisa, kulikuwa na nyumba za kuishi. Tunatoa taarifa kuwa hakuna rabsha yoyote.
“Tumewaambia wale ambao wanaona hawajatendewa haki basi waje watuambie lakini hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza.
“Tutahakikisha tunawalinda raia wote bila kuwa na ubaguzi, usalama wa raia wa kila mtu ni muhimu. Zanzibar ni sehemu ambayo ina historia ya kuw ana makanisa tangu enzi na enzi, hatutamvumilia mtu au watu ambao watakuwa wanania ya kuharibu taswira ya Serikali ya Zanzibar.”
Pia Soma~~ Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo
Kuna watu wengine ni wakorofi tu of all places kwanini ujenge kanisa Zazibar? ambao hamna wateje? 99% ni dini moja ya kiislamu? Ni yale yale ya kuweka bucha ya kitimoto karibu na mskiti wakati kuna sehemu zingine kwa kisingizio xha uhuru wa mtu kufanya biashara popote.
Kuna vitu unachanganya hapa.Mkuu Zanzibar ni nchi ya kiislamu, 99% ya watu wake ni waislamu, kwahiyo hakuna cha ajabu kuwa na mifumo ya kiislamu kwenye maisha yao, ni tofauti na Bara ambapo uwiano wa dini hizi mbili ni mkubwa nearly 50 - 50, So cha muhimu ni kufahmu kuwa haiwezekani mazingira ya Zanzibar yakawa sawa na Bara. Tujaribu kulitathmini kwa uandani na sio kuishabiki. Tatizo kuu la Zanzibar ni suala la Makanisa kuwa yanaengezeka kwa kasi kila siku zinavyokwenda, Na hilo linawafanya wananchi wao wengi kuwa insecure. Nchi nyingi ambazo ziko dominated na dini moja kwa zaidi ya 90% ni lazima watu wa dini nyengine wata experience mambo kama hayo, na hasa wakiwa Wageni.
Kuna vitu unachanganya hapa.
Ngoja nikuweke sawa kidogo.
1. Uhuru wa kuabudu unaletwa na kulindwa kikatiba na sio idadi ya waumini wa eneo husika, hivyo wingi wa waislamu kwa Zanzibar sio sababu ya kuwanyima uhuru wa kuabudu wakristo.
2. Nchi ya Tanzania na Zanzibar, serikali ya Tz na SMZ zote hazina dini, hivyo hakuna dini iliyo juu ya mwingine linapokuja suala la kuabudu. Sio sahihi kwa muislamu kumpangia mkristo namna ya kuabudu, and vice versa.
3. Tanzania ni kubwa sana, na Zanzibar ni eneo dogo katika Tanzania, yapo maeneo mengi yenye aina fulani ya waumini wa dini au imani iliyotawala zaidi lakini hawezi kuona hali ya waumini fulani kuzuia shughuli za kuabudu za imani nyingine.
4. Huo uwiano wa waumini wa kiislamu kuwa 99% ya wazanzibar wote sio wa kweli wala sio rasmi. Ni kweli wako wengi lakini sio kwa kiwango hicho. Zanzibar ni eneo lenye mchanganyiko wa watu wengi sana kwa sasa kuanzia waislamu, wakristo, wahindu, wabagani nk. Kuna mitaa hapa Zanzibar ina misikiti na ikipigwa adhana unaweza kukuta msikitini kuna imamu na muumini mmoja tu!
Kabla ya hilo swali lako kujibiwa, anza kwanza kajiuliza hili swali; hivi makanisa ya kikatoliki hayawezi kuwaita waumini wao kuja kanisani kusali bila kuwagongea kengele?Nitoke nje ya mada kidogo, hv makanisa ya kilokole kuubiri bila vipazasauti haiwezekani. Yaan SoMo haliwezi kueleweka. Japo dini na madhehebu mengine nao hufanya hivyo lakini wanaunafuu kidogo ukilinganisha na walokole.
Misikiti imejengwa hadi Mbeya. Pamoja na kelele za alfajiri.kanisa kajenge Mbeya,
makanisa yana makelele, usiku kucha
Nyie yale mavipaza sauti yenu asubuhii hamuyaoni eti????? Unadhani tunafurahia makelele yale watu tumelala mnaaza kupiga makelele kama wehu...Kabla ya hilo swali lako kujibiwa, anza kwanza kajiuliza hili swali; hivi makanisa ya kikatoliki hayawezi kuwaita waumini wao kuja kanisani kusali bila kuwagongea kengele?
Kwani waumini hawana saa?
Hawajui muda wa ibada?
kanisa kelele usiku kucha, hatutaki kanisa ZenjiMisikiti imejengwa hadi Mbeya. Pamoja na kelele za alfajiri.
Wajibu waache porojoHao wapemba waache uongo, wamevunja nyumba eti kisa hali ya hewa
Kwa hiyo mtaa mzima ni hiyo nyumba tu ndio ingeathirika na hali ya hewa
Kuna vitu unachanganya hapa.
Ngoja nikuweke sawa kidogo.
1. Uhuru wa kuabudu unaletwa na kulindwa kikatiba na sio idadi ya waumini wa eneo husika, hivyo wingi wa waislamu kwa Zanzibar sio sababu ya kuwanyima uhuru wa kuabudu wakristo.
2. Nchi ya Tanzania na Zanzibar, serikali ya Tz na SMZ zote hazina dini, hivyo hakuna dini iliyo juu ya mwingine linapokuja suala la kuabudu. Sio sahihi kwa muislamu kumpangia mkristo namna ya kuabudu, and vice versa.
3. Tanzania ni kubwa sana, na Zanzibar ni eneo dogo katika Tanzania, yapo maeneo mengi yenye aina fulani ya waumini wa dini au imani iliyotawala zaidi lakini hawezi kuona hali ya waumini fulani kuzuia shughuli za kuabudu za imani nyingine.
4. Huo uwiano wa waumini wa kiislamu kuwa 99% ya wazanzibar wote sio wa kweli wala sio rasmi. Ni kweli wako wengi lakini sio kwa kiwango hicho. Zanzibar ni eneo lenye mchanganyiko wa watu wengi sana kwa sasa kuanzia waislamu, wakristo, wahindu, wabagani nk. Kuna mitaa hapa Zanzibar ina misikiti na ikipigwa adhana unaweza kukuta msikitini kuna imamu na muumini mmoja tu!
Hiyo ndo kweli ya nchi yetu. Umaskini unachochea misimamo mikali ya kidini kwa kuamini Mbigu ipo! Z'bar wanasumbuliwa sana na kusikia dini ya Kikristu. Mauaji ya enzi ya Kikwete yalionekana ni kawaida tu! Ingawa nyuma ya pazia tuliambiwa yalichochewa makusudi na hakuna aliyehukumiwa.Ukweli tuuseme tu, hata kama unatuuma.
Suala la uvumilivu wa kiimani kwa Zanzibar uko chini sana. Kujenga kanisa huwa kunawakera na kuwaudhi mnoo watu waliopo Zanzibar. Makanisa yanayoheshimiwa ni yale ya kihistoria ambayo yanafanya watalii waje, tofauti na hapo yangekuwa yameshavunjwa siku nyingi.
Kwa Zanzibar malaya, mashoga na mateja wana thamani kubwa kuliko muumini wa Kikristo mwenye msimamo.
Mbona kuna manabii wengi weusi? Kuna Nabii Suguye, Nabii Mwamposa, Mwigira n.kKwa hyo mabwabwa Wana thaman kubwa huko zenji?
Ila tambueni dini tumeletewa na mkoloni
Watu hawajiulizi mbona hakuna nabii mwenye rangi nyeusi yaan mwafrika ina maana SS weusi tulitengwa hatukuhtaji dini
Watakatifu wote watu weupe weus n wakuhesabu Sana Tena had tuwalazmishe
Msikitini lugha n kiarabu TU Kwan MUUNBA hasikii kiswahili kwann tusiswali kiswahili ili kila mtu aelewe?
TUJIOKOE KIFIKRA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nchi gani hiyo inayowaingiza wazungu kwa wingi? Huo ni uongo tu! Europe hawana mpango na dini; iwe uislamu au ukristu.licha ya kuwa Europe kuna nchi ambazo zinakua na haki nyingi za kibinaadamu mpaka nyengine za aibu lakini bado hawapo huru kama wanavyokua katika maeneo yao, na zaidi ni kuwa Uislamu Europe unashamiri kutokana na Wazawa wengi kuingia katika waislamu, na sio kwa kutegemea wageni.
Hahaha ongeza na nabii TitoMbona kuna manabii wengi weusi? Kuna Nabii Suguye, Nabii Mwamposa, Mwigira n.k
Niko Zanzibar na naijua Zanzibar vizuri.Mkuu kuhusu hiyo namba 4 halina utata kabisa, Ni kweli Zanzibar kuna Wakristo wengi ila majority yao ni wahamiaji. Wakiristo wa asili kwa maana ya wale wanaotambulikana kama ni wazanzibari wakichanganyika na wahindu hawawezi kufika hata asilimia 1.
siyo kweli ... Kukemea pepo ndio hakutakiwagi !Hao wakazi wapo sahihi. Kwa tabia yenu ya makelele mkiruhusiwa tu basi kisiwa chote mtakimeza kwa makelele yenu.