Mchungaji atishia kuwafukuza waumini wake watakaokataa kutuma sadaka kwa Mpesa kila Jumapili

Huyu mzee kwa kuwatukana na kuwagombeza waumini wake hajambo
Ajabu ni kwamba wanaendelea kupambana tu humo kanisani mwake bila kuhama
 
Mungu kajificha sana, inasababisha watu wake kushikiwa masikio na ma-Ng'ang'a.
Aibuke once na kukemea hawa mutu.
 
Wenye akili wanaelewa anachomaanisha! Kazi kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…