Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252

Attachments

  • FDownloader.Net_AQPd7FuhakMSt59b0S_fnmpjOrJRcoVRcWaWXK_GsgoGs424aP1qfp5F8LumlTYh2A9bvtaLR6eRg0...mp4
    2.3 MB
  • FDownloader.Net_AQMKyBnvtIgbztuWuwatpm6q6DIoqGFJ0VMSIr_FAnHejbj2bgE_iuHad0r_K6oPPFYyT-i7v4syhc...mp4
    8.4 MB
Mchungaji anadai Martha Mwaipaja anajihusisha na vitendo vichafu vya usa**j*i) visivyokubalika ndani ya jamii ya Tanzania na kwa Africa kwa ujumla

Ushahidi: Tembelea Page hii Atuganile Mwakosya
Kwahiyo Mchungaji ana kazi ya kumtangaza badala ya kumponya kiroho? Je ana utayari wa kwenda kutoa ushahidi mahakamani?
 
Dah?! Pisi kali kama ile ni ya kufanya huo uchafu! Ajitokeze aseme ni kweli au ni uzushi tu. Huyu mwimbaji kuna bifu atakuwa kalifanya, si bure, mara hatoi hela kwa mama yake, mara usa..ji, soon ataibukiwa na kashfa nyingine. Ajisafishe tu, ana ukurasa wake mitandaoni
 
Mchungaji aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja katika ukurasa wa Facebook

Mchungaji anadai Martha Mwaipaja anajihusisha na vitendo vichafu vya usa**ji) visivyokubalika ndani ya jamii ya Tanzania na kwa Africa kwa ujumla

Ushahidi: Tembelea Page hii Atuganile Mwakosya

Tazama Video hii
Umejuaje ni Martha Mwaipaja na hajamtaja kwa jina?
 
Back
Top Bottom