Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Martha anajulikana tangu kitambo kama mraibu wa ngono za kusagana, na hicho kibinti (Joan) anachosema ni mtoto wake ndio wameshibana katika huo ushenzi, kibinti kimekubuhu. Hiyo video ya huyo pastor yenye kutoa hizo Code ipo tangu miaka miwili iliyopita, wengine waliipuuzia (labda kwa sababu hakutaja jina) lakini wenye akili walimuelewa huyo Pastor kwa kuwa huwa amenyooka katika mahubiri yake.

Yote kwa yote, kwa wale wanaompenda Martha basi watafute njia ya kumsaidia tu (na njia rahisi ni kumtenganisha na huyo binti kwa akili kubwa), tofauti na hivyo kutoka hapo labda kwa miujiza tu. Umakini ukikosekana, mambo yatazidi kuwa mabaya zaidi huko mbeleni, na gharama ya kutoka hapo itakuwa kubwa sana huenda hata maisha ya mmoja wapo yakapotea.

Naandika haya kwa uhakika na umakini mkubwa, ipo siku tutarejea hapa kuyasoma haya.
Huyu Martha badala atafute mme anasagana hivi ana akili kweli?
 
Back
Top Bottom