Mchungaji Gwajima: Elimu bila connection ni sawa na kontena la maarifa yasiyo na matumizi

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Your browser is not able to display this video.


Nimekutana na hii video mtandaoni,

Mchungaji Gwajima anatoa hoja yake kuhusu umuhimu wa kuwa na Connection hata ukiwa umesoma.

Mchungaji Gwajima anasema "Mwanangu soma sana, kuwa na Masters, kuwa na PHD lakini lazima awepo mtu. Academic breakthrough with no connection you just become a container with useless knowledge.

Elimu bila connection ni sawa na kontena la maarifa yasiyo na matumizi.

Nini mtazamo wako kuhusu hoja hii?
 
We ongea yote lakini

Kila mtu ana destiny yake

Utaipata hiyo destiny kwa jinsi ulivyojiposition [emoji81][emoji383][emoji383]
 
Manake anawaambia hata hao wanaosali hapo kwake kuwa si kweli wakiomba maombi Mungu awape kazi atawapa bali watafute connection tu
🤣🤣🤣
 
mjinga ni mjinga tu lini kaweza kutoa ushauri unaoeleweka. Arudi darasani asiendelee kupotosha watu
 
Hizi connection zinaangamiza bara la Afrika! Mjomba anakuunganishia sehemu ambayo haiendani na taaluma yako. Basi acha tubaki na hizi kauli "ananijua Mimi ni nani??".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…