Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Isikilize vizuri hio video,binadamu ni kiumbe kianziacho tumboni,zaid ya raisi maana yake uraisi una ukomo na kazi ya Mungu ni ya kudumu,pia km ni uongo aende mahakamani akamstaki,au akanushe Kwa uthibitisho,kuhusu kumiliki mali hata wwe ukiacha uvivu wa kufikiri ukawa positive thinkers unaweza ukamzid Trump.Gwajima ni great positive thinker anaamini ktk kuweza ni kanuni ya matajiri wengi wa mali za kutafuta sio za kurithi.Siasa ni maisha na ni makosa kumtuhumu mtu Kwa kitu usicho na ushahidi nacho.Na maisha ya kinafiki kuishi kwa kujipendekeza, kuwachongea au kuwaonea wengine huwa yana mwisho mbaya tunayaona mitaani pia.
 
Basi hawajui majukumu yao hapa duniani.
 
Maaskofu na wazee ndiyo kazi waliyotumwa na Mungu hapa duniani.
Mkuu wazee wengi sasa wamegawanyika wengi wapo kwa upande wa Gwajma na baadhi kwa makonda kinachotakiwa kwa sasa ni Mh Rais atumbue Jipu watu waachane na story hii maisha yaendelee kama kawaida.
 
Paskali nilichoelewa mimi, sio kwamba yeye yuko juu ya Rais ila utumishi wa Mungu ni zaidi ya hivyo vyeo vingine.

Nilitaka kukutag kwenye ule uzi mwingine, nilijua itakuuma tu. Pole sana mkuu. Wewe mwambie Makonda ajibu tuhuma kwa vielelezo sio kwa kuombewa na mashehe.

Huyo Gwajima, atajijua yeye mwenyewe na Imani yake. Hivyo ni vitu vya kiroho, haya ya Makonda ni ya hapa na adhabu zake ziko hapa hapa duniani.
 
T

Result slip siyo cheti. Tafuta result slip yoyote imeandikwa kuwa siyo cheti, hii ni kwa matokeo yanayotolewa na necta.
 
Paskali. uongo aliousema ni upi?? na wewe unajifanya mtu wa ajabuajabu leo au umehongwa?
 
Tulieni tu dawa iwaingie vizuri jamani, hivi hamshangai kwanini mtuhumiwa kawa mpole hivi?
Mtuhumiwa yupo busy kwa sangoma, kamati za Ufundi toka Nchi mbalimbali na sasa mashehe wa Bakwata wanashinda nae, huku GSM wakitumia pesa kuingila data za baraza za mitihani ili wabariki majina ya Paul makonda yafanane tokea shule ya msingi mpaka alipomaliza, vuteni subra kuna vioja vya mwaka vinaandaliwa mwaka huu tutashuhudia maajabu ya kila aina.
 
Haiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana
Kosa kwa nani ?
.Ilo jamaa kilaza....Gwajima kampa Siku tatu ....anavitoa vyeti hadharani.... Mmesahau TB Joshua alivyokuja walivyoenda kumpokea airport mpaka ikulu mkwere anajichekesha
 
Kwani humu kuna maraika hadi tujue kuwa Gwajima ni mtumishi wa Mungu au sio?
Kwani mtoa mada wewe unamuonaje Gwajima?
 
Nakuja tena
Hata mimi zamani lilikuwa jambo la kawaida kutumia jina la mtu mwingine
 
Mkuu wazee wengi sasa wamegawanyika wengi wapo kwa upande wa Gwajma na baadhi kwa makonda kinachotakiwa kwa sasa ni Mh Rais atumbue Jipu watu waachane na story hii maisha yaendelee kama kawaida.
Kazi ya Ukuu wa Mkoa siyo ya kutuma application hata kama hujui kusoma wala kuandika unaweza kupewa hiyo nafasi, kazi hii inataka hekima, busara na maarifa, wazee wanaweza kutumia busara na kumaliza hili bifu kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…