Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Unaumia sana Gwajima kuwa mhubiri? Umemuelewa anamaanisha nini anaposema yupo juu ya Rais?
Hakuna kiongozi wa dini anayejifahamu, anaweza kusema yeye ni zaidi ya Rais. Iko siku atawaambieni yeye ndiye aliyewaumba.

Yaonekana anamfahamu Makonda tangu zamani. Kwa nini kwa utumishi wake wa Mungu, alikaa kimya kwa miaka yote hiyo akiwa mkuu wa Wilaya na sasa akawa mkuu wa Mkoa? Binafsi sijali kwamba amefoji vyeti, hilo ni kosa lake lakini haizuii na yeye kuhisiwa madawa ya kulevya.
Tuliwahi sikia hata polisi waliofoji vyeti, utawazuia kukukamata eti tu wamefoji vyeti? Nonsense!
 
Hii vita ya makonda vs Gwajma imetoa fundisho kubwa kwa watanzania, pia vita hii imetengeneza ajira na Dili kwa Wajanja wachache wanaojua kucheza na Akili za hao wakurupukaji, walimtuma makonda akurupuke na yy akakurupuka pasipo kutafakari sasa hao hao na wengineo wanakula pesa zake kwa kisingizio cha kumsaidia kupoza pressure ya akina Manji, mbowe, wema, Gwajma na wengineo, na yy Makonda sasa anapata pesa nyingi toka Hazina kwa amri ya mkulu akidai ni pesa ya kumsaidia kupambana na vita iliyopo mbele yake, sasa kuna biashara mpya imeibuka Wajanja wanapiga pesa kinyama huku watanzania wakiendelea kujadiliana tu, hii ndiyo Tanzania Nchi ya fursa na vioja vingi.
 
Pascal nadhani keshapewa cha juu, kama mnakumbuka ndo aliyeleta awali hizi tuhuma akizitoa kwenye page ya Mange Kinambi leo anasema ni uzushi, kwa mantiki hiyo Pascal ndo mzushi namba moja
 
Safari hii mliopewa hela mmsafishe Makonda mtaumbuka sana.
Gwajima huwa anapiga panapouma siku zote na aliyepigwa huwa haachi kuweweseka
Mako anawachora tu...muongee mmalize ...alafu anakuja kuwachapa na vyeti vyake....let the fools talk first...let wait and see who will lough last
 
Hajasema ana matokeo, amesema ana vyeti mezani kwake, hivi kweli kuna cheti cha divisheni 0 ya miaka hiyo?.

Paskali
Ndio,Zaman walikuwa wanatoa na Results Slip Pia
Pasco inachukua dakika ngapi kwa Daudi kuja na Vyeti vyake kum prove wrong Gwajima
 
ww unamiliki cheti feki ndiyo maana unatetea vyeti feki, Tambua kuwa Gwajma kaamua kumchunguza makonda baada ya jaribio la kutaka kumbambikia kesi, na kila mtu huamua kumchunguza mtu pindi akiamua kukufanyia ubaya, Kabla makonda hajamfanyia Unyama Gwajma hakuwa akijua history yake, anapaswa umwambie boss wako Daud Albert kuwa hakuna aliyekuwa akijua kuwa ni muumni wa vyeti feki mpaka alipoamua kuwakomoa watu ndipo siri zote zimeanza kuvuja baada ya watu kutumwa kumchunguza.
 
Mako anawachora tu...muongee mmalize ...alafu anakuja kuwachapa na vyeti vyake....let the fools talk first...let wait and see who will lough last
Mkuu hongera sana naona umekula Tenda ya bilion kuingia Necta kufuta data zote na kuingiza Upya ( kufa kufaana) tumieni fursa hiyo kula pesa za GSM .
 
Hoja zako ni za kitoto sana sawa na kumwambia Makonda alikuwa wapi kusema siku zote kuwa Gwajima anatumia madawa mana alikuwa kiongozi wa UVCCM akawa DC alikuwa na uwezo wa kulisaidia jeshi la polisi na si kulopoka ovyo sasa mtu wamemkamata wamempima hamna kitu wameamua wamuachie mana kama angekuwa navyo angebaki kizuizini au angepandishwa mahakamani.
 
Hapa ana jaribu kukwambia kuhusu usafi wa kiumbe
 
YANI UMAJITAHIDI KABISA SIJUI KWA KUSUDI GANI KUTETEA VITU USIVYOKUWA NA USHAHIDI NAVYO. KAMA GWAJIMA ANASEMA UONGO WAKAMSHTAKI. HAYO YA UNABII WA UONGO MI HAYANIHUSU MAANA SIJAAMBIWA NIMEAMBIWA NISIHUKUMU.
Ndugu yangu uandishi ya Paskal unahitaji utulivu wa akili ndipo umweelewe,wewe unaweza ukafikiri kwanda anamponda Gwajima lakini kumbe sio hivyo.
 
Ndio,Zaman walikuwa wanatoa na Results Slip Pia
Pasco inachukua dakika ngapi kwa Daudi kuja na Vyeti vyake kum prove wrong Gwajima
Zitakuwa dakika milion 500 maana kuwasaka watu wote wanunuliwe kupoteza ushahidi itachukua madakika mengi sana.
 
We nahisi ukulisikia tangazo kutoka kwa mama Joyce ndalichako
 
Mako anawachora tu...muongee mmalize ...alafu anakuja kuwachapa na vyeti vyake....let the fools talk first...let wait and see who will lough last
We unafiki hakuna ambae hawezi kucheza michezo ambayo Makonda anacheza cheti kukibadilisha ni pesa yako na ushawishi tu lakini ukweli pekee ndo huwezi kuubadilisha mana kama tumesoma na wewe na tunajua uliitaga halafu leo uonyeshe cheti umefaulu haitakujenga bali itakudidimiza tu.
Mpaka sasa Paul halisi kashatolewa kituo cha kazi yupo jijini wanaandaa cheti original wanachokijua wao lakini ni too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…