Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Duh kweli nimeamini mbwa kumg'ata mtu ni habari ila mtu kumg'ata mbwa ni habari ya kushangaza safi sana gwajima
 
Gwajima ni mhuni kam wahuni wengine

Gwajima ni dealer, kakoswa tu

Gwajima hana sura ya Yesu , kama wakristo mnamjua Yesu

Gwajima haishi maisha ya Yesu

Kavunja ndoa ya Mbasha anataka kumvunja nguvu mkuu wa mkoa !!
ni kweli kabisa..tatizo kuna wengine humu ni wakristu lkn hawajishughulishi kusoma maandiko..wasome Tito 1.5:9.waone jinsi askofu anavyopaswa kuwa kisha wamlinganishe na Gwajima..
 
Kuna wakati nilikuwa namtetea huyu Askofu nikifikiri ni mtumishi wa Mungu wa kweli. Ila picha anayoonyesha si ya Yesu Kristo.

Hili la kulipa BAYA kwa BAYA SI la YESU bali ni lugha ya SHETANI.Na imenipa MASHAKA zaidi kama kweli huyu ni mtu wa Mungu.

Yesu alisema WAOMBEENI wanaowaudhi. SAMEHENI mnapokosewa na MSILIPIZE KISASI.
Sasa huyu Gwajima mbona anafanya the opposite?
Ameniacha na MASWALI mengi kuliko MAJIBU!
 
Hayo fanyeni kwa wengine lakini hilo la makonda kubambikia watu kesi za unga halifai kusamehewa milele.
 
Mtumishi yetote wa Yehova Mungu, sio Gwajima peke yake, ni mkuu kuliko rais wa nchi yoyote hapa duniani, yaani ni mkuu kuliko rais kwa mfano, wa Marekani, au Uingereza, au Ujerumani, au Japan, n.k., n.k. Unless you don't know the Mightiness of Jehovah, the Living God.
 

Hata kama anazo photocopy bado zitaonesha alama zenye taarifa zile zile zilizopo ktk cheti original...
 
Kiukweli maombi ya kumuombea mabaya adui si maombi ya kikristo ....hivi hatujiulizi kwanini Yesu aliwasamehe waliomtenda yale? Vita ni juu ya Bwana na si kazi yetu kuhukumu ....tumepewa silaha za kupambana na Roho chafu na kuvaa silaha za vita vya kiroho ....ukianza kupambana kimwili nature ya mapambano ya kimwili itachukua nafasi na mshindi atakuwa yule mwenye mabavu kimwili ....Gwajima amechafuliwa ...ndio ...alishajibu tuhuma kwenye media na polisi ....inatosha ....amtumikie Bwana ambaye ndiye mtetezi ....haya mavita yanamtoa kwenye reli ya Kiroho ....Mungu amsaidie kwasababu amebeba jina la KRISTO na nyuma yake kuna watu wanaomuamini Kristo kupitia yeye ....TUOMBEANE SISI KWA SISI ....
 
Yes huo ni kwel nani zaidi ya Mungu, Kwa jina la Mungu kila baya halina nafasi na Kwa jina lake kila kitu kinawezekana mkuu
 
Uwe na akiba ya maneno
 
Ila ukiacha iyo side A ya kanda mbona kuna wa2 wa side B nawajua ni watu wanene sana na hatuna taarifa za waliposoma?


Napita tu jamani msinipige mawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…