Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Nnjaa Mbaya....yani hatawewe umepewa Kijisent cha Kumsafisha Bashite.....Sasa naona Mambo ya Uwakiki yamekufa Rasm
 
Sasa mbona Lowassa na Maalim Seif wanaulilia sana urais? Kwa nini wasiwe wachungaji?
Hivi hadi gwajima anatamka maneno hayo ulimfuatilia tokea mwanzo?? Ndio shida ya kudandia treni kwa mbele!! Wala usingekuja na upuuzi huo!! Ubashite huu ni shidaaaa
 
ndio ujiulize, kwanini Yesu akuacha kanisa kwa Malaika, akaamua kuliacha kanisa kwa binadamu..

Majibu mepesi ni kwakuwa binadamu anaanguka na kusimama, ili utukufu wake uweze kutukuka...

uwezi kumuelewa Askofu Gwajima kwa hata maandiko yanasema "tazama haya yalifichwa kwa watu wazima lakin wakafunuliwa watto wadogo"...

alafu hakuna mahala, Gwajima alishawahi kujiita yeye ni Nabiii....

mimi ni mkatoliki, ila kama umefichwa hekima ya kimungu kaa kimya
 
Your Good
 
Yesu alisema,"Mwambieni huyo Mbwea......." akiwa anatuma ujumbe kwa Herode(mtawala wa wakati huo) vipi ukifanya hivyo hapa Tz?
 
divishen zero haina cheti hawa ndo watumishi hewa ukiskia
Living ni cheti pia, huyo unayemwita mtumishi hewa sasa anamhenyesha boss wako Daud Albert mpaka anakesha kwa waganga wa kienyeji, Bakwata, na sasa kampa pesa pasco na Steven Nyerere wamtetee, angekuwa mchungaji hewa mngehangaika kupoteza mda?
 
Hivi hadi gwajima anatamka maneno hayo ulimfuatilia tokea mwanzo?? Ndio shida ya kudandia treni kwa mbele!! Wala usingekuja na upuuzi huo!! Ubashite huu ni shidaaaa
Akili ni nywele kila mtu ana zake,ww hujamuelewa lakini wengi wanye wepesi ktk kuelewa wamemwelewa vizuri ndiyo maana wanajadili kwa kiina juu ya ligi hii ya boss wako Daud vs Gwajma
 
kuna muda mwingine huwa nawashangaa sana watu wanaokosoaga watumish wa Mungu. let me tell you Pascal Mayalla, hawa watumish wa Mungu sio kazi yetu kuwahukumu manake kazi waifanyayo sio yetu ni ya Mungu. na yy ndie awezaye kusoma nafsi na kuhukumu.

istoshe hivi unakumbuka neno ambalo Bwana wetu Yesu Kristo alimwambia Petro siku Petro alipomwambia kwamba je kwani yampasa kufa? YESU ALIMJIBU 'PITA NYUMA YANGU WEEE SHETANI'
neno ambalo hata leo hii hakuna mtumish wa Mungu aliyewah kuthubutu kumwambia mtu. hivi unadhani Yesu angekuwa leo hii atumie neno hili ungesemaje?
 
Kuwa mtumishi wa Mungu si kigezo cha kuruhusu tabia ya kubambikiwa Kesi, hiyo tabia ya kubambikia mtu kesi lazima ilaaniwe vilivyo pasipo kuangalia maandiko yeyote, ww unamsaidia Pasco mayala lakini mwenzako kapewa pesa amtetee makonda huoni kama na ww unatenda dhambi? Msitumie maandiko matakatifu kuharalisha uonevu, ukandamizaji, Udikteta, kubambikia watu kesi.
 
Nakubaliana nae kuwa yeye ni zaidi ya rais ikiwa tu ni mtumishi wa kweli anaemtumikia mungu lakini kama ni ngru mbili ujue hamfikii rais hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…