Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

hapo red mie nimepata dhambi ipi?
nimemuonya pasco aache kumuhukumu manake yy ni nani adi amuhukumu mpakwa mafuta wa Mungu? iwe iwavyo mwenye uwezo wa kumuhukumu mtumish wa Mungu ni Mungu mwenyewe kwani ndiye aliye mwandika kazi.
 
unabishana na mke wa Makonda ambaye hata yeye anajiita "mama daudi"?Naona unajaribu kumnasua Makonda,lakini watu tushaelewa.Halafu huyo Magufuli unayemtambua,usimuweke Makonda katika level sawa na viongozi wengine,kwake yeye bwana yule,Makonda ana treatment tofauti kabisa.
Pili hivyo vyombo vya usalama vingekuwa vinajua kazi zao vizuri,leo hii tusingekuwa tuna makovu ya ufisadi kiasi hiki.Angalia mpaka waingereza ndio walitusaidia kujua tumeibiwa kwenye radar lakini pia kwenye ule mkopo wa dola mil 600 ambapo kuna asilimia 1 iliongezwa kwa ajili ya mtu wa kati.
 
we endelea kubishana na mke wa Daudi Bashite
 
we endelea kubishana na mke wa Daudi Bashite
Bwana wa masogange anasaka namba ya huyo mke wa Daud ili wachepuke apoze machungu ya kuchukuliwa demu wake, yaani anataka a-balance ngoma droo.. Daud kamega wake na yy anataka amege wa Makonda, mega umegewe wapo busy kusaka namba yake .
 
Mchumba wake masogange ana usongo na mke wa makonda anaomba asaidiwe namba yake ili na yy achepuke nae wabalance
 
KAMA ITAKUJA KUDHIHIRIKA KUWA MH MKUU WA MKOA AMEFOJI VYETI, BASI NAMWOMBA RAIS MAGUFULI AVUTE MDA KIDOGO KABLA YA KUMTOA MADARAKANI ILI TUMALIZE HII VITA YA MIHADARATI KWANI IMEKUWA NI JANGA KUBWA NA NDUGU MAKONDA AMEKUWA NI MPIGANAJI SHUPAVU KWENYE HII VITA.
VITA HII YAHITAJI MTU SHUJAA, ASIYE NA UOGA, MWENYE BIDII KUBWA NA SIO VYETI.
 
Living ni cheti pia, huyo unayemwita mtumishi hewa sasa anamhenyesha boss wako Daud Albert mpaka anakesha kwa waganga wa kienyeji, Bakwata, na sasa kampa pesa pasco na Steven Nyerere wamtetee, angekuwa mchungaji hewa mngehangaika kupoteza mda?
unamjua gwajima unamsikia, ukipambana naye usijaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji, atawasambaratisha hata hizo nguvu watakazokupatia hazitakusaidia. kamwulize shee husein msoma nyota kilichompata.
 
naombeni tufufue ile kashfa ya upunga na mshitakiwa wa ATCL, hawa wawili wanapikwa kwenye chungu kimoja. ona wanavyoteteana.
 
k
we endelea kubishana na mke wa Daudi Bashite
kati ya mabinti wanaoumia moyo tena bila hatia, nahisi huyu binti ni mmojawapo. sipati picha. mara agi kapangishiwa jumba makongo, mara wema katongozwa, mara mtu katembea na kajala. ndoa ni mtiani mkubwa sana hakika.
 
k

kati ya mabinti wanaoumia moyo tena bila hatia, nahisi huyu binti ni mmojawapo. sipati picha. mara agi kapangishiwa jumba makongo, mara wema katongozwa, mara mtu katembea na kajala. ndoa ni mtiani mkubwa sana hakika.
Huyu Daudi anampa mitihani sana binti wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…