Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

paskal mayalla ni wale wale
 
Pascal Mayalla,

Kama kweli vile, kama vile mchungaji anapondwa lakini lengo. Duh! Imesemwa, mnafiki hana heshima kwa wale anaowadanganya, hajiheshimu yeye mwenyewe na akipata nafasi ya kujidanganya atafanya hivyo. Go go go, go Paskali go.
 
Hayo majina jamani mnampakazia muheshimiwa naona mazito daudi Albert bashite khaa! Mleta mada we unawezaje mtambua mtumishi wa Mungu wa kweli?
 
Nawe umerudia yaleyale ya Gwajima, umehukumu. Tafiti, yawezekana Gwajima yupo sahihi. Dunia hii ina jambo moja la ajabu ambalo wengi wetu tunapopanda kimadaraka au kupata fedha tunasahau kwamba kama tunavyowajua wengine ndivyo na wao wanavyotujua. Tulizaliwa na kulelewa huko vijijini na watu wanatujua.

Yawezekana madai ya Gwajima yasiwe na mashiko kwa sasa, lakini Paschal, elimu yetu Tanzania hasa hasa kati ya miaka ya 70 na 90 ilijaa magumashi tu, na hili la kutumia majina ya wanafunzi wengine lilikuwa jambo la kawaida. Leo hii ukizungumzia mwenye jina lake halisi kwa waliosoma kipindi hicho utachekwa sana kwa sababu kuchukua majina ya wanafunzi wengine lilikuwa jambo la kawaida, kwa hivyo sishangai kuyasikia haya maana ndo ulikuwa mtindo wakati huo--kukariri madarasa kwa majina ya wanafunzi watoro, wagonjwa nk. Kwa hiyo hili la Makonda kama ni kweli mimi sishangai, na watu wa aina hii wapo wengi tu, iwe serikalini au sekta binafsi. La Makonda linakuzwa tu kwa vile kagusa madawa ya kulevya!!
 
Kama anayosema askofu n kwel utasemaje mkuu? mana umetetea utadhan unauhakika na vyet halic vya RC tucjaj wala kuhukum mapema hii muv bado inaeendelea mkuu. mbna baada ya askof kukutwa c mtumiaj wala muuzaj wa powda hamkushutum RC. by the way naunga mkono vita dhd ya powda ya RC ingwa kutokana na kutokutumia busara na utaalamu nackitika sana kuona inafel
 
Bavicha wamechanganyikiwa Sasa hivi gwajima yuko upande Wao yoyote ambaye anapingana na serikali basi Bavicha watamtetea Sana. Pascal Umeona mbali huyu jamaa sio kabisa Ana Dharau Sana na mimi nasema mwenyezi MUNGU afanye Sawasawa na mapenzi Yake. Binadamu wa dhaifu Sana
 
Kwamba Msigwa na Getrude (wachungaji) walijidemote! Na mchungaji Jesse Jackson (US) alitaka kujidemote! Fweza nazo zinalewesha!
====
Mkuu Paskalli, naomba umuulize (Gwajima) utaratibu alioutumia kupata vyeti vya Makonda, wakati tunajua vyeti vyote vya viongozi wa serikali nakala ziliwasilishwa 'serikalini ' na original vilibaki kwa wamiliki halali wa vyeti hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…